PostGE2025 Aunty Lulu: Niliomba msamaha kwa jeshi la polisi kwa kufanya uchochezi na ndio maana sijakamatwa

PostGE2025 Aunty Lulu: Niliomba msamaha kwa jeshi la polisi kwa kufanya uchochezi na ndio maana sijakamatwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Kwahiyo wewe Lulu unataka kutuambia kwamba kila mtu angeomba msamaha angesamehewa?

Lakini pili wewe si unajifanya mpambania wananchi kama ulikuwa unasema vilivyo na maslai ya wananchi kwanini uombe msamaha na kusema uchochezi?

Embu tuache kidogo kuna kitu kimejificha hapo
===========
Aunty Lulu anasema katika Harakati Zake Za kisiasa Baada Ya Kugundua Amekosea Alijipeleka Polisi Na Kuomba Msamaha Na Jeshi LA Polisi Likamsamehe

 
Hakuna kitu hapa, huyu yuko blackmailed tayari, hapo alipo watekaji wana video zake chafu walizo mrecord kwa nguvu na anatumikia mashariti aliyopewa ambayo ndio kma haya kufanya reversal campaign ya kile alichokuwa anafanya mwanzo.
 
Imeandikwa usimuamini mwanamke, ndio maana hata ibilisi alipitia kwa hawa kumshawishi ale tunda maana anawajua ni vigeugeu na wanafiki.
 
Back
Top Bottom