GE2025 Aunty LULU ahimiza amani na kukemea maandamano

GE2025 Aunty LULU ahimiza amani na kukemea maandamano

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mbona hawajamteka au (') imembeba?
Account yake in followers wengi, wameona wapige ndege wawili kwa jiwe moja, yeye mwenyewe ahamasishe watu wapige kura.

Ni kama wale wezi wanaiba simu yako, halafu wanachukua namba za ndugu na marafiki na kusema watumiwe pesa umepata shida.
 
Nimejikuta nakumbuka maandishi katika basi ya Zakaria musoma mwanza huku nyuma imeandikwa " kaza roho" siyo Kila mtu anaweza kukaza roho.
 
Ukiangalia vizuri "facial expression" yake inamsaliti.

Mosi anaonekana alikuwa chini ya shinkizo , hadi amelia muda mrefu.

Pili anasoma script aliyoandikiwa chini ya shinkizo na anaisoma chini ya shinkizo.

Tatu , maandamano sio ya CHADEMA pia gwanda za CHADEMA hazina logo ya jina CHADEMA hapo pembeni huyu yake inayo ikimaanisha wamemvika tu kujustify lengo lao.

Mwisho tu ni kuwa katika mambo kama hayo usaliti huwa haukosekani hata Gen Z ya Kenya walisalitiwa mwaka jana na akina Osama Otero, Gabriel Oguda na Kasmuel McCoure.
 
Kwenye mawasiliano yoyote Kuna kitu kinaitwa minimal encourage and body language
Ukirejea hivyo vitu viwili utagundua kuwa ata mpangilio wa kile anachokiongea haupo Bali ni mtu anayefanya kitu kwa kuogopa kitu fulan kisitokee
 
Hata ukimuangalia kinywa kimemkauka anaongea kwa uoga na hana amani mwenyewe kesha tekwa.

Hayo maneno siyo maneno yake, yuko chini ya ulinzi huyo.
 
Back
Top Bottom