Mnatukosea sana adabu waislam, kisa tu kuna masheikh wachache wameamua kujitoa ufahamu, mkianza hivi mnaingia kwenye mtego ule ule wa kufarakanisha ili yao yaende.
Sijui hao masheikh walioongea wana level gani ya elimu katika hizi
1️⃣ Maktab / Madrasa ya awali
2️⃣ Ibtidaai kama primary
3️⃣ Mutawassit kama o level
4️⃣ Thanawi kama A level
5️⃣ (Hiari) Idadiya / Sanawiyya Ul-‘Ulya hii ni level ya chini kabla ya degree
6️⃣ Shahada / Chuo Kikuu
7️⃣ Masters
8️⃣ PhD
Ila nijuavyo mimi mtu akiamua kuwa mnafiki haijalishi elimu yake, anafanya sababu ya manufaa yake
Mie mbona sina elimu hiiiiyo lakini naona kabisa hawa wahuni wanafamya ndivyo sivyo?
Mkianza kuwa attack waislam wote kwa ujumla mnakuwa wapumbavu shambulieni wale WAHUNI wanaojiita masheikh.. sababu kuna waislam pia wanawapinga wale