Augustino Ramadhani: Chaguo la system

Nilishasemaga hapa kwamba hili zigo wanataka kumrithisha Jaji maana ni mpole na cartel hawa wakina jk na wenzake watamwambia nini afanye.

Kikwete anapenda sana watu wadhaifu.
Jaji ramadhani sio dhaifu sema mpole na hata kuwa na maamuzi
 
Mmeshaanza Majungu Yenu. Watanzania Sijui Tupoje. Hivi Na Wewe Mathalan Baba Yako Angekuwa Ndiyo Rais Wetu Usinge Feel Proud? Tutafutieni Basi Rais Tasa Mridhike!

Ni mtazamo tu mkuu usijenge chuki,hata rizone mwaka 2003/4/5 alikuwa kachoka tu lakini baada ya mshua kuchukua nchi na yeye ni bilionea.
 
Ni mtazamo tu mkuu usijenge chuki,hata rizone mwaka 2003/4/5 alikuwa kachoka tu lakini baada ya mshua kuchukua nchi na yeye ni bilionea.

Mmmmmmmmh! Lakini Hili Nalo Neno Kwani Nakumbuka Miaka Ya 88 Hadi 92 Nikiwa Skonga Hapo Jirani Na Kanisa La Mtakatifu Petro Obey Tukiwa Tunatoka Shule Na Kupiga Misele Hadi Maeneo Ya Drive In Enzi Hizo Ambako Ni Karibu Na Kwao Pale Kwa Chini Ulikuwa Unakuta Lile Deli La Ice Cream Kwa Nje Na Tukiwa Tukitaka Kununua Ice Cream Basi Dogo Rizimoko Alikuwa Anatoka Baru Kutoka Ndani Na Kuja Kutuuzia Na Leo Dogo Kaula Kimaisha. Anyway King Kong III Nimekuelewa Mkuu!
 
Wakimleta huyo tunachukua kura zetu Ukawa kwasababu nilimpenda Makongoro huko CCM ..hili zee pelekeni kwao Zanzibar na wala hata mvuto hana. Atakuwa ana uchu sana Wa madaraka huyu mara jaji, Mara mchungaji mara brigedia mara raisi, hatukubali kamwe kwasababu kwanza umri wa kustaafu kashatimiza na zaidi ..upuuuzi huu.
 
Tuendelee kuhabarishana.
 
UPDATES leo july 9,2015

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…