Augustino Polepole: Najua Humphrey Polepole yupo Kigamboni, mumpeleke kwa mama yake, mkimhamisha mtajuta

Augustino Polepole: Najua Humphrey Polepole yupo Kigamboni, mumpeleke kwa mama yake, mkimhamisha mtajuta

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Kuna habari gani kuhusu huyo Mafwele, naona mapichapicha tu huko mtandaoni! Kweli jamaa aliingia kwenye kumi na nane za Kanali?

Baada ya kaka wa Augustino Polepole kuongea mchana wa leo, amerusha tena video nyingine akisema amepata habari wanataka kumhamisha Polepole kutoka hapo Kigamboni wanapomshikilia, akiongeza kuwa wakimhamisha, watakiona cha mtema kuni.

Augustino anasema maagizo aliyotoa ni mdogo wake arudishwe kwa mama yake na sio vinginevyo. Wakishupaza shingo basi "Atawahamisha" wao kwanza!

 
Wakuu,

Kuna habari gani kuhusu huyo Mafwele, naona mapichapicha tu huko mtandaoni! Kweli jamaa aliingia kwenye kumi na nane za Kanali?

Baada ya kaka wa Augustino Polepole kuongea mchana wa leo, amerusha tena video nyingine akisema amepata habari wanataka kumhamisha Polepole kutoka hapo Kigamboni wanapomshikilia, akiongeza kuwa wakimhamisha, watakiona cha mtema kuni.

Augustino anasema maagizo aliyotoa ni mdogo wake arudishwe kwa mama yake na sio vinginevyo. Wakishupaza shingo basi "Atawahamisha" wao kwanza!

Yaani jamaa anavyoongea kifuani utafikiri akisemacho ni kweli 😂🤣😂.

Uwongostino bhana!
 
RRONDO unaikumbuka hii?
tumblr_mngzc6ewm81rvwx30o1_250.gif
 
Nakumbuka tulipokua tumeingia tu mjini yaan bado washambaaa basi tulienda sherehe moja pale upanga na mama mmoja alipiga mkwara eti yeye anafanya kazi ikulu ivyo ile meza hataki mtu anataka kaa peke yake na mdada mmoja aliedai ni bodi gadi wake
Baadae miaka ya mbele uko tulimkuta anauza pub kumbe mchovu tu
Mjini hapa njoo na mkwala upaishwe😅😅😅
Huu mkwara duh....😀😀😀
 
Back
Top Bottom