August money saving challenge

Prince Luanda

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
3,112
Reaction score
4,329
Kusave hela ni changamoto sana. Ili ufanikiwe inabidi ufanye kila siku ili iwe tabia hata kama ni kidogo usidharau just save.Mwezi wa nane unakaribia wale wakusave hela huu uzi ni kwa ajili ya motivation.. Fanya kwa uwezo wako .. wale wa kusave daily join me! Hii ni maalumu kwa tunaofanya biashara kwa kuwa tuna kipato cha kupanda na kushuka..Nitakuwa naleta updates hapa kila siku.
Fainali Dizemba
Kila la heri!
 
Hizi ndo thread sasa za kukutana nazo asubuhi, thread inashtua akili. 🤝

sio asubuhi asubuhi "nimeipiga hadi kakataa tena huku anasema nnalo likubwa kubaaaf"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…