Audio: Mwijaku oyeee, hatimaye lisukule lamjibu Mwijaku, lakiri liliajiriwa simba

Ulichoandika na hiyo audio tofauti,em kuweni siriaz na hii wikiend pesa nyingi huku kwenye kubet,Manara anatembelea V8,Mwijaku nae shepu lake linampa maisha hapa mjini sisi wa ID fake tuna nini lkn?

Hilo V8 analotembelea msukule lina siri nzito!
Ukitaka kujua zaidi mwambie akuonyeshe kadi ya hilo gari!
 
Alaaa kwa hiyo Simba mmeamua kumsajili hadi Dr.Kumbuka kuongeza uzito wa mtifuano wa maneno dhidi ya ndg.yetu Buggati ?!!! 🤣🤣🤣
subiri uone hii clip yeye mwenyew akiwa simba aliombwaga na dr kumbuka wamsaidie, hata Gigy money na amber lulu watatufaa kuongeza nguvu, tunataka kumuonyesha kwamba level zake ni zipi siyo kutwa kumuongelea Mo na CEO, akabishane na kina mwijaku huko

 
Manara hapa kachemsha. Mbona anachokifanya Mwijaku ni kama anachokifanya Manara kwa Mwamedi. Kumbe Manara inamtouch kutokujibiwa na Mwamedi. Ila yeye kaonyesha ufala sana kumjibu Mwijaku. Manara hana chawa wake kwani ?Mwijaku ni chawa wa Mwamedi.
Ni muda mrefu huwa yuko hivyo kama toto vile linapenda kutania na kubully watu yeye akirudishiwa anamlilia Mungu....tunasubiri Mwijaku akichoka Dr kumbuka ataingia kuhamasisha
 
Hilo V8 analotembelea msukule lina siri nzito!
Ukitaka kujua zaidi mwambie akuonyeshe kadi ya hilo gari!
Achana na hwa wajinga kisa v 8 basi jamaa ndiyo apate free pass ya kutukana watu, kama hivyo basi wenye ma v-8 mjini hapa wapewe hiyo free pass
 
Mpira wa Tz ni mgumu sana.

Kwahiyo tulipofikia sasa hivi ni timu kuajiri watu wachambane. Nikisema sishabikii mpira wa bongo naonekana miyeyusho
 
subiri uone hii clip yeye mwenyew akiwa simba aliombwaga na dr kumbuka wamsaidie, hata Gigy money na amber lulu watatufaa kuongeza nguvu, tunataka kumuonyesha kwamba level zake ni zipi siyo kutwa kumuongelea Mo na CEO, akabishane na kina mwijaku huko


🤣🤣

Buggati aipambanie tu Yanga yetu....kupambana na Mo Dewji ni kujipotezea nguvu zake tu za ubishani...kwani hatomuweza 🤣🤣
 
Hafai kwa vipi na nyie, sijui mmetumwa na msukule! Ukiulizwa sababu hutaji kwa nini hafai, unaenda tu na upepo wa watu kuwa hafai, wewe mwenyewe peke yako ukiulizwa kwa nini hafai huna sababu
Hakika

Mtani wetu Barbara si mjinga...ni msomi na mweledi hasa wa soka letu la bongo na hulka zetu mashabiki....

Hivi unataka umuweke mtu gani asiye na hulka za Komredi Mwijaku kupambana na Komredi wetu semaji El Buggati ?!!!! 🤣🤣🤣
 
Hata hivyo hakuna anayemlazimisha mtu kushabikia mpira, huwa mnajipeleka wenyewe
Anataka ashabikie mpira wa Ujerumani ?!! Khaa 😲🤣👊

Mpira wa bongo nje ya UWANJA unaendana na hulka zetu watanzania....hao akina Buggati Manara na Mwijaku wana wenzao wengi tu WANAOFANANA hulka na tabia huku kitaaaa....... 🤣

MPAMBANO UENDELEE TU

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Kudadadadeeeki Mwijaku oyeeeeeeee shikilia hapohapo hapo hapoooooooo Mwijaku kasababisha sukule lopolopo la dunia kukiri kwamba liliajiriwa simba jamaa ni BIPOLAR CASE last week lilitoa mkwara kwamba linafungua case kwa kufanyishwa kazi bila kuajiriwa leo linakiri kwamba limeajiriwa

kwenye audio hii LOPOLOPO BIPOLAR SUKULE LA DUNIA linamuambia Dc MWIJAKU kwamba" hushangai unamsema mtu hakujibu? DOES THAT SOUND FAMILIAR?... MO NA BARBRA WALISHAKUJIBU KWANI? ulitaka wakujibu ? MO katoka wapi kwenye kesi yako wewe na Mwijaku?

hovyooooooo na kule sub kuna MHAMASISHAJI ANAITWA dr kumbuka SOON NAYE ANAINGIA UWANJANI
hao ndiyo level zako jiheshimu wewe jinga Mo siyo level zako za kumtajataja hovyo as if unawataja ex wives wako waliokukimbia, deal na Mwijaku

TULIJUA TU, NI MWEPESI MNO KUGHADHIBIKA AKIPEWA KELBU ZA UHAKIKA ILA LENYEWE KILA SIKU KUTUKANA WATU ..ULIMPA JINA MWAKALEBELA LA KILOGRAM 800 HADI LEO LIMEMKAA WEWE UKAITWA MSUKULE NA NUGAZ UKAENDA LIA KWA MABOSS WA GSM HADI WAKAMFUTA KAZI

MWIJAKU SHIKILIA HAPOJAPO

GENTAMYCINE UMEONA MATUNDA YA DC MWIJAKU?? NGUMI MOJA YA CHEMBE JITU LIMEKIRI KUMBE LILIKUWA LIMEAJIRIWA SIMBA







.
 
bando la kusikiliza audio unalo?umesikiliza kweli mkuu au uko freebasics??? tafuta hata bando la 500 ukasikilize....huyo anayetembelea v8 kutwa anshinda mtandaoni kumtukana tajiri namba 13 africa anayetokeaga kwenye cover za Forbes magazine...hopeless kabisa..sasa hajajibiwa na Mo wa CEO kajibiwa na mwijaku...he has to stay on his lane kama anaona haitoshi atajibiwa na dr kumbuka akumbukushwe kusafisha mimeno ile ya njano
Hili domo linatoa uvundo hatari.
JamiiForums-351257054.jpg
 
Back
Top Bottom