Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Tuweke ushabiki pembeni, japo wanacheza nafasi tofauti, Dr. Aucho wa Yanga na Chama yule wa kipindi akiwa Simba yupi ni mchezaji hatari zaidi akiwa na mpira?
Chama wa kipindi kile ni hatari, ameifanyia simba makubwa mno, Aucho tumpe muda tuone nae atafanya niniTuweke ushabiki pembeni, japo wanacheza nafasi tofauti, Dr. Aucho wa Yanga na Chama yule wa kipindi akiwa Simba yupi ni mchezaji hatari zaidi akiwa na mpira?
Thread closedChama wa kipindi kile ni hatari, ameifanyia simba makubwa mno, Aucho tumpe muda tuone nae atafanya nini
Tuweke ushabiki pembeni, japo wanacheza nafasi tofauti, Dr. Aucho wa Yanga na Chama yule wa kipindi akiwa Simba yupi ni mchezaji hatari zaidi akiwa na mpira?
Ni ngumu kuwalinganisha wachezaji wanaocheza nafasi mbili tofauti. Majukumu ya chama Aucho hayawezi kuyafanya. Na pia majukumu ya Aucho, chama hayawezi kuyafanya.Tuweke ushabiki pembeni, japo wanacheza nafasi tofauti, Dr. Aucho wa Yanga na Chama yule wa kipindi akiwa Simba yupi ni mchezaji hatari zaidi akiwa na mpira?
Triple CTuweke ushabiki pembeni, japo wanacheza nafasi tofauti, Dr. Aucho wa Yanga na Chama yule wa kipindi akiwa Simba yupi ni mchezaji hatari zaidi akiwa na mpira?
Nyani bwana!!ni kawaida yenu kurukarukaUwezi kuwafananisha kwakua wanacheza nafasi tofauti, Ila Chama ilimchukua muda kufanikiwa pale Simba.
Aucho nimchezaji mzoefu na amecheza nchi nyingi na timu nyingi amesha cheza mbaka timu za ulaya. Uku Kwetu Tanzania ni Kama karudi kijijini, Chama kwenye uzoefu ana mengi ya kujifunza kwa Aucho.
Makasiriko ya nini we kolo?Yaani uto kweli akili ndogo. Aucho ndio kwanza gemu ya 4, unamfananisha na mtu aliyecheza gemu zaidi ya 100. Puuzi kabisa
mjadala tumeufungaHuwezi kuwafananisha Chemical na Nandy
No! Unaweza kushindanisha watu wa nafasi mbili tofauti ila kumlinganisha chama na aucho ni kumkosea chama mno, chama ameipa simba vikombe, ameipeleka simba robo fainaili sasa aucho kaifanyia nini yanga?Ni ngumu kuwalinganisha wachezaji wanaocheza nafasi mbili tofauti. Majukumu ya chama Aucho hayawezi kuyafanya. Na pia majukumu ya Aucho, chama hayawezi kuyafanya.
Narudia tena ni ngumu kulinganisha wachezaji wenye majukumu mawili tofauti, sana sana mtaenda kwenye matokeo ya ujumla (mafanikio) lakini hautoweza kuwalinganisha kiufundi mpira hauko hivyo, je unawezaje kumlinganisha Neymar na De Gea? Zaidi tu ya mtaenda kwenye mafanikio ya mmoja mmoja na kushindwa kuwachambua kwa kiufundiNo! Unaweza kushindanisha watu wa nafasi mbili tofauti ila kumlinganisha chama na aucho ni kumkosea chama mno, chama ameipa simba vikombe, ameipeleka simba robo fainaili sasa aucho kaifanyia nini yanga?