Auawa kwa kusafirisha ng'ombe India

Auawa kwa kusafirisha ng'ombe India

Waliwahi kamata waislamu wanasafirisha nyama ya ng'ombe. Wakawatafutia mkojo wa ng'ombe kama chai na mavi ya ng'ombe kama mkate. jamaa wakakaa wanatafuna. Ni mambo ya kipuuzi sana.

Washenzi sana hawa watu....
 
Hawa jamaa wa ajabu sana nilienda India nikaingia local shop nikakuta sabuni ya mavi ya ng'ombe na mikojo kwa ajili ya kujipaka
Yaani cheza na mavi tu sio nyama
 
Back
Top Bottom