Au mimi ndio jini mwenyewe?

Au mimi ndio jini mwenyewe?

Wazungu huwa wanakaa nao kiulaini kabisa
Hahahaha
 
Jf kuna majini waloelimika,yani jini anapost,analike,anacomment,anazingua
 
Kuna uzi ulikuwa mwanadada, kam bado ni mwanadada na umesema ela zao zinanyonywa ipo namna hapo
 
Chumba cha pili wameita mganga, wanadai wanalogwa ili pesa isikae, nyumba nzima inanuka ubani, inadaiwa ubani huo utafukuza jini lenye kunyonya hiyo pesa, sasa hivi ubani umezidi nashindwa kupumua lazima nikimbilie nje nikapate hewa safi, au mimi ndio jini mwenyewe?
Kweli hawa ndowatu wa JF great thinkers
 
Back
Top Bottom