Au mimi ndio jini mwenyewe?

Au mimi ndio jini mwenyewe?

Jina linaangalia kulia na kushoto kabla ya kuvuka barabara/
 
Jamaa kaleta kahoja fulani kazito ila tumechukulia utani...wapi mshana jr
Utusaidie
 
Chumba cha pili wameita mganga, wanadai wanalogwa ili pesa isikae, nyumba nzima inanuka ubani, inadaiwa ubani huo utafukuza jini lenye kunyonya hiyo pesa, sasa hivi ubani umezidi nashindwa kupumua lazima nikimbilie nje nikapate hewa safi, au mimi ndio jini mwenyewe?
Tena mpaka umekimbia nje wewe utakuwa jini mkata kamba
Hahahahhahhahahahaahaaaa
 
Chumba cha pili wameita mganga, wanadai wanalogwa ili pesa isikae, nyumba nzima inanuka ubani, inadaiwa ubani huo utafukuza jini lenye kunyonya hiyo pesa, sasa hivi ubani umezidi nashindwa kupumua lazima nikimbilie nje nikapate hewa safi, au mimi ndio jini mwenyewe?
Duhh,,,
 
Back
Top Bottom