collezione
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 352
- 178
Wana-JF na waTanzania wote wenye mapenzi mema.
Mimi naona swala la kupiga kelele haitoshi. Kila mtu anaathirika na ufisadi kwa njia moja au nyingine. Hawa mafisadi wanatufanya tushindwe kuyafurahia maisha ndani ya chini yetu. Ufisadi unatufanya hali ya maisha inakua ngumu. Kila siku afadhali ya jana. (Tuache unafiki) kila mtu analijua hili.
Mafisadi wana-nguvu kuliko shetani. Mafisadi wanapanga nani auwawe hapa Tanzania. Viongozi wetu mashahuri kina Dr mwakyembe afya zao, Ziko mikononi mwa mafisadi. "Hawa watu ni kitu gani mpaka watupande kichwani kiasi hiki".
Jamani waTanzania, tuanze kutokomeza hawa mafisadi. Maneno peke yake hayatoshi. Fisadi mmoja ni sawa na majambazi (laki moja). Sasa kwanini tusiwachome moto???
Ile list ya mafisadi 10 inajulikana. Tuanze kupiga mawe mmoja mmoja. Wewe kama uko jirani ya mmoja wao. Tupe details.
Wananchi milioni 40 hatuwezi kushindwa hawa watu 10.
Mimi naona swala la kupiga kelele haitoshi. Kila mtu anaathirika na ufisadi kwa njia moja au nyingine. Hawa mafisadi wanatufanya tushindwe kuyafurahia maisha ndani ya chini yetu. Ufisadi unatufanya hali ya maisha inakua ngumu. Kila siku afadhali ya jana. (Tuache unafiki) kila mtu analijua hili.
Mafisadi wana-nguvu kuliko shetani. Mafisadi wanapanga nani auwawe hapa Tanzania. Viongozi wetu mashahuri kina Dr mwakyembe afya zao, Ziko mikononi mwa mafisadi. "Hawa watu ni kitu gani mpaka watupande kichwani kiasi hiki".
Jamani waTanzania, tuanze kutokomeza hawa mafisadi. Maneno peke yake hayatoshi. Fisadi mmoja ni sawa na majambazi (laki moja). Sasa kwanini tusiwachome moto???
Ile list ya mafisadi 10 inajulikana. Tuanze kupiga mawe mmoja mmoja. Wewe kama uko jirani ya mmoja wao. Tupe details.
Wananchi milioni 40 hatuwezi kushindwa hawa watu 10.