Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Soma hapawewe ni mtaalamu wa ballistics?
Watu 10 mashuhuri waliouawa kwa kupigwa risasi
Wengine 16 tu walikufa
Soma hapawewe ni mtaalamu wa ballistics?
No wonder kauli ya Kingunge ilibadishwa mbele ya Camera za waandishi wa habari huku tukishuhudia. Hapo wanaongelea Pellets, wewe unabadirisha na kutuambia eti ni Bullets.Hebu cheki watu waliomiminiwa risasi za kifuani takribani 97.
View attachment 670366 View attachment 670366
Differentiate between pellets and bullets kwanza..Hebu cheki watu waliomiminiwa risasi za kifuani takribani 97.
View attachment 670366 View attachment 670366
We risasi moja ukipigwa hoiunamaanisha nini unaposema natoa mimba?
Mimi nina utaalamu wa kufanya D AND C
Najua umekaa sehemu unasubiri muitikio WA wasomaji.Unataka kuandika kwamba watu wasitafute "kiki"!Kwamba [HASHTAG]#Lissu[/HASHTAG] asijidai sana,alipigwa risasi chache tu!?Hebu cheki watu waliomiminiwa risasi za kifuani takribani 97.
View attachment 670366 View attachment 670366
Hebu cheki watu waliomiminiwa risasi za kifuani takribani 97.
View attachment 670366 View attachment 670366
We mchokozi ujue sa iv wafia chama wamelalaUna uhakika haijabaki hata moja Mkuu? Huwa nasikia hata kama zitatolewa zote lazima tu kuna moja itakugomea kutoka na ndiyo utaishi nayo daima milele amina.
Si mnatafuta kiki kwamba ndio wa kwanza kupigwa risasi?Najua umekaa sehemu unasubiri muitikio WA wasomaji.Unataka kuandika kwamba watu wasitafute "kiki"!Kwamba [HASHTAG]#Lissu[/HASHTAG] asijidai sana,alipigwa risasi chache tu!?
Umepotea sana "kamanda"
Tuambie basi za kwako zilizopelekea ukaanzisha mada.Hizo ni fikra zako
Nasiyo chujio tu anakuwa wavu wa kuzuia mbu au wa kuvulia samaki.Mkuu kusema uongo ili kufunika ukweli si sawa hata kidogo
Hakuna mtu anayeweza miminiwa 97 na akabaki,kiufupi anakuwa chujio
Ukute alipigwa na gobole
Tofautisha pellets na bullets mata.ko wewe.Hizo ni fikra zako
Mmeacha kuamini katika miujiza?Jingalao kiingereza kinakusumbua usingetafsiri hivyo vipande vinaweza kutoka katika Risasi Mbili au tatu tuu...hakuna kiumbe kinachoweza kupigwa risasi 97 kifuani na kikaendelea kuwa hai labda risasi za kuwindia ndege umpigie tembo...