Atoke vipi jamani!

Prayers will rescue him
 
Aombe apewe mabawa apae kama bado anapenda kuishi kama apendi jiachie meeeeennnnnnnnnnnnnnnn!!!!
 
Apambane na Nyoka hukohuko juu mana huku china wanaua vibaya sana. Akate tawi la mti pale, mchape Nyoka tu..
 
hapa akaze roho amtindue nyoka, nyoka akidondoka chini atamtemea simba mate usoni, ili simba ajiokoe na sumu atakimbilia kwenye maji kuosha sumu, mamba wale lazima watimke wakimuona mzee wa nyika. Jamaa ashuke zake taratibu akipiga mluzi kama ana karanga mfukoni atupie moja moja mdomoni kwa raha zake.
 

Umetisha mkuu
 
yaani nimecheka sana hasa hapo kwenye kupiga muluzi na kutupia karanga mdomoni!...very interesting kwa kweli...
 
yaani nimecheka sana hasa hapo kwenye kupiga muluzi na kutupia karanga mdomoni!...very interesting kwa kweli...
Ye Soya hicho nacho kibarua ujue. Jaribu kuchew karanga huku unapiga mluzi uone hasara yake! Btw am glad leo nimeweka smile usoni kwako:yo:
 
Last edited by a moderator:
Apite kwa Simba. Simba wa siku hizi mdebwedo. Akishajitambulisha yeye ni Libolo anapita kiulaini.
 
Aendelee kubembea hivyo hivyo, na sala kwa wingi. Malaika wangu yuko njiani kuja kumchukua.
 
Aseme maneno ya Ayubu!
..mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi, nazo hujaa taabu, yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa.....etc
 
Kwanza aniambie ilikuwaje akafika katika hali hiyo
 
Hii ndo Dilemma ya ukweli, but hapo lesser evil ni kudeal na nyoka tu!!!!
 
Hihihuhuhahahahaaah!
 
Simba ndio weak predator hapo...nina uhakika hako kasilaha ka upande wa kulia bado kapo hajakavyeka


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…