ATM za NBC ni kero kwa wateja!

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Hivi kuna tatizo gani na ATM za NBC

1. Hazifanyagi kazi wk end kbs kuanzia jumamosi utazunguka mji mzima na bado hazifanyi kazi ukienda makao makuu ndio utakuta ATM 1 inafanya kazi na haichelewi kuisha fedha muda wowote.

2. Ukitaka kudeposit ni balaa kabisa wakati muingine ukifika banh hall/branch wanakwambia network hatuna IT wanashugulikia je wakikosa wateja bado watalaumu watu wa sales hawafanyi kazi zao?

3. ATM zao ni za VISA-unaweza mteja kutoka bank ingine anaweza kuwithdraw hela kwa ATM CARD ya bank ingine ila mteja wa NBC hawezi kutumia ATM card yake kwenye ATM machine za mabenki mengine kama CRDB etc.

Je hii ni haki-unahela kwenye a/c lakini huna access nayo hata kama una emergence ya mgonjwa? NBC BANK LTD-BADILIKINI. Slogani yenu inasema the Bank that is conviniently every where....is it true???
 
Mkuu ukiona unapata usumbufu na hao jamaa unaweza kwenda bank nyingine,ndio maana watu wanakimbilia kuweka fedha zao DECI.
 
Hawa jamaa kwakweli wanakera mno tena sana. Jamani mbadilike pesa zetu mnaanza kutunyanyasa mm nimesha anza kuhamisha pesa nahamia Exim Bank angalau naifrahi ukienda ATM hakuna foleni unachukua mzigo wako mapema nakuondoka.
 
Mkuu ukiona unapata usumbufu na hao jamaa unaweza kwenda bank nyingine,ndio maana watu wanakimbilia kuweka fedha zao DECI.


DECI ni Bank? hujiulizi muda wakwenda kufungua a/c bank ingine, process zote hizo? unanishauri nikaweke fedha DECI ambayo hata hai exist?
 
Mie nakuwa na ATMs kama tatu, NBC, CRDB na Baclays!

Usiweke mayai yako yote ktk kapu moja: ukipata ajali ukaanguka ni hasara!
 
Mie nakuwa na ATMs kama tatu, NBC, CRDB na Baclays!

Usiweke mayai yako yote ktk kapu moja: ukipata ajali ukaanguka ni hasara!



Ulisha jiuliza gharama za kuendesha/kumiliki a/c nyingi kwa mtu mwenye kipato cha chini?
 
Mie nakuwa na ATMs kama tatu, NBC, CRDB na Baclays!

Usiweke mayai yako yote ktk kapu moja: ukipata ajali ukaanguka ni hasara!

This is typical of Tanzanians poor way of looking at, translating and addressing public problems with pure personal solutions, sick!
Mzalendohalisi, the issue at stake here is not whether or not one has diversified his/her personal savings; it is inefficiency of NBC ATMs, which must requires to be dealt with. If that is done the implication is multi-chip holders such as Mzalendohalisi to get total service delivery enjoyment constituted by ATM services X the number of ATM cards held; so will enjoy three times Mzalendohalisi!
It is important to think big,ee..!
 
mimi nilienda kuomba kazi pale hawakunijibu.....ninachojua mimi kutokana sources from inside ni kwamba hawana wataalamu kabisa....kuanzia managment yote ni mbovu.....foleni zao ni noma kama za NMB
 
NBC ushauri wa bure.......fanyieni kazi malalamiko ya wateja wenu...mnasumbua kwa kweli...ATM kutokuwa na pesa nafikiri ni plan yenu sio kweli kuwa hamna taarifa...haiwezekani....makusudi mna bore
 
NBC ushauri wa bure.......fanyieni kazi malalamiko ya wateja wenu...mnasumbua kwa kweli...ATM kutokuwa na pesa nafikiri ni plan yenu sio kweli kuwa hamna taarifa...haiwezekani....makusudi mna bore

Yaani na zile foleni zina kera sana unakuta Bank kuna madirisha 7 tellers lakini wanao fanya kazi ni 2 au 3 tu watu mnasimama mpaka mnachoka
 
Tungeomba watu walioko huko mikoani watoe taarifa/kero yao kuhusu tatizo hili hapa DSM ni hivi je huko mikoani?? nimesikia anayeshugulikia customer compalain ni mama DOGANI tafadhali mwambie asome malalamiko ya wateja
 
Yaani na zile foleni zina kera sana unakuta Bank kuna madirisha 7 tellers lakini wanao fanya kazi ni 2 au 3 tu watu mnasimama mpaka mnachoka

waajiri tellers ambao ni washapu ni wazee wengi wao, wanajibu kwa ukali sana......
 
Tungeomba watu walioko huko mikoani watoe taarifa/kero yao kuhusu tatizo hili hapa DSM ni hivi je huko mikoani?? nimesikia anayeshugulikia customer compalain ni mama DOGANI tafadhali mwambie asome malalamiko ya wateja


Nguli

Tatizo kubwa la ABSA ni overcontrol kwenye NBC! Kwa kuchelea kuingizwa mjini all transactions are controlled from RSA via a satellite uplink. The breakdown of communications is linked with the positioning of the satellite . This is been observed hata kwa watu wanaotumia DSTV. Let ABSA allow NBC to operate at arms length! HATA cheque books wanaprint RSA hii ni aibu where is BOT au wanalala as usual. Pesa kuisha hilo linahusu ATM zote do you know why waliziweka bila kuwa na control kwa hiyo waweka pesa kidogo ili wajanja wasizilambe especially on week ends. Hawa jamaa wanaibiwa sana ila hawasemi hadharani!!! yap!!!!!
Ushauri wa bure hata kwa hao CRDB and the rest waingie kwenye investment ya kutumia fibre optic connection kwa kuanzia na jiji la Dar and then roll out in the regions. They should also update the customer ID ili mtu akikukaba hata kama ni my wife wako akijua password asiweze kuchukua hela!!! I don't know if the little camera iliyopo inafanya kazi ya ku validate immage ya mchukua pesa na the ID ya Card owner. In principle that should be the case.

The ATM should be able to match the bearer with the owner!!!! Vinginevyo kadi imezwe na huyo mtu achukuliwe picha na aitwe intruder au mwizi na atafutwe!!!

Tatizo la ques kwenye mabenki yetu linakubalika si walizoea watu kulala kwenye foleni za maji na mikate enzi za kaya!! Hakuna Benki inayoweza kumcheka mwenzake just go to NMB kule nyoka ni warefu hata hujui pa kuanzia.
 
Mi nakwambia hiyo NBC ni afadhali 1000% times, nenda NMB mtu wangu utajuta mara mbili ya hayo.
 
nguli

tatizo kubwa la absa ni overcontrol kwenye nbc! Kwa kuchelea kuingizwa mjini all transactions are controlled from rsa via a satellite uplink. The breakdown of communications is linked with the positioning of the satellite . This is been observed hata kwa watu wanaotumia dstv. Let absa allow nbc to operate at arms length! Hata cheque books wanaprint rsa hii ni aibu where is bot au wanalala as usual. Pesa kuisha hilo linahusu atm zote do you know why waliziweka bila kuwa na control kwa hiyo waweka pesa kidogo ili wajanja wasizilambe especially on week ends. Hawa jamaa wanaibiwa sana ila hawasemi hadharani!!! Yap!!!!!
ushauri wa bure hata kwa hao crdb and the rest waingie kwenye investment ya kutumia fibre optic connection kwa kuanzia na jiji la dar and then roll out in the regions. They should also update the customer id ili mtu akikukaba hata kama ni my wife wako akijua password asiweze kuchukua hela!!! I don't know if the little camera iliyopo inafanya kazi ya ku validate immage ya mchukua pesa na the id ya card owner. In principle that should be the case.

the atm should be able to match the bearer with the owner!!!! Vinginevyo kadi imezwe na huyo mtu achukuliwe picha na aitwe intruder au mwizi na atafutwe!!!

tatizo la ques kwenye mabenki yetu linakubalika si walizoea watu kulala kwenye foleni za maji na mikate enzi za kaya!! Hakuna benki inayoweza kumcheka mwenzake just go to nmb kule nyoka ni warefu hata hujui pa kuanzia.

thanks-this is professional reply nimeridhika na jibu lako mkuu.
 
Mi nakwambia hiyo NBC ni afadhali 1000% times, nenda NMB mtu wangu utajuta mara mbili ya hayo.

Mimi nimekuwa nikitumia NMB huwa inakera sana siku za mwisho na mwanzo wa mwezi. Kama unaweza kuji-control ukawa huendi tarehe hizo kuna unafuu fulani ukilinganisha na NBC. NBC huwa haina cha mwanzo wala mwisho wa mwezi ni kero siku zote.
 
Ulisha jiuliza gharama za kuendesha/kumiliki a/c nyingi kwa mtu mwenye kipato cha chini?

Yeah,
Kwa mtu ambaye anaishi kwa "hand to mouth" (e.g mfanyakazi ambaye anasubiri mshahara huku tayari akiwa na madeni) si rahisi kuwa na zaidi ya akaunti moja. Ila kama kipato chako kinaruhusu kuwa na surplus kidogo mwisho wa mwezi ni vizuri ukawa na akaunti zaidi ya moja inasaidia sana. Kuna Benki ambazo hazina gharama sana ya uendeshaji kama Exim (hakuna withdraw fee wala monthly charges kwenye akaunti za T.Shs), NMB na CRBD somehow ila Baclays usiende wanakata pesa hamna mfano.
 
Nimeenda kuchukua pesa NBC muda si mrefu hapo tawi la Kichwele nimeambiwa pesa hakuna yaani zimeisha duh yaani bank inaishiwa pesa nimesubili kama masaa 2 hivi hakuna pesa hawa jamaa wanatutania sana dawa hapa nikuhama tu bank zipo nyingi wanajiona wanawateja wengi.
 
Back
Top Bottom