Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
dar mtoto anatoka mbagala anasoma kibaha .Yn wewe unamtoa mwanao huku kwa aziz ally unampleka madale..hebu muonee huruma huyo kiumbe..unamuamsha saa kumi
Ile madale campus ilivyo mbali vile...kutoka tu mlimani city mpk madale kupitia makongo ni mbali..ndio sembuse huku temeke...plz...plz..hebu fanya mchakato ahame..
Shem January Atlas ni bye bye! Hapa tunashauriana pa kumpelekaHaya bwana shemeji... wakoromee wasije wakakuletea mengine kwa mwanao.
Na wewe usijifanye unatujua sana! Kalale Mbele kuleKwa Aziz Aly hadi Madale? huo n ukiukwaji wa haki za kibinadamu
ahaaaa ila shosti mimi nakaa jirani huku nimpe mwanetu huyo huko mbali jamani kama vipi muamisheNa wewe usijifanye unatujua sana! Kalale Mbele kule
Jaribu kuicheki na Doris Nursery & Primary school ipo Mtoni Kijichi nao wapo Vizuri!Shem January Atlas ni bye bye! Hapa tunashauriana pa kumpeleka
mwanangu pia anasoma atlas ubungo.. magari yao wanajazana sana kiukweli.. niliwaambia pia hii sio sawa...
kwa mwanangu haimhusu maana hapandi ma bus sababu tunakaa karibu na shule huwa anaenda kwa miguu tu na dada wa kazi na kurudi kwa miguu... nawaonea huruma wanafunzi wanaokaa mbali
Ona dharau hizo sasa...Aliniacha hoi siku ya kikao cha wazazi,wazazi wakatoa kero zao na dukuduku likiwepo hilo suala la usafiri.Jibu alilolitoa ni kwamba sisi tumeona ile shule ni nzuri ndiyo maana tunapeleka watoto wetu pale vinginevyo kama tunaona huduma siyo nzuri tusingewapeleka pale.Lilivyotoka hilo jibu niliondoka pale pale
Bora umpeleke ubungo...madale mbaliKulingana na Location tuliyokua tukiishi awali ndio maana nilimpeleka hapo! Nitamuamisha si kwa sababu ya umbali ila ni kwa sababu ya ahadi zisizokwisha ambazo zina dalili ya kutupotezea watoto ,kwani pesa tunayolipa haiendani na huduma wanayopewa ya usafiri maana hata walio ubungo nao wana lalamika
Mi nilishasema mwanangu atasoma shule iliyo karibu na nyumbani..full stop..kumuamsha sa kumi nope....shule ziko nyingi mno na nzuriMie nadhani wazazi wao ndio wahamie Madale ili mtoto awe jirani Na shule wao ndio wawe wanaamka mapema Na kurudi kwa kuchelewa waone mateso yake
Kwa Aziz Aly hadi Madale? huo n ukiukwaji wa haki za kibinadamu
Kwanza huyo jamaa mwenye shule ni jeuri sana,alitoa majibu ya jeuri kwenye kikao cha wazazi mimi sikuamini kama ni yeye.Na hilo suala la usafiri kurekebisha wanalizungumza sana ila utekelezaji ni sifuri
Sasa hivi anatamba maana shule zake kidogo ada ipo chini lakini ipo siku shule yake itadoda asipowasikiliza wadauMuda ni hakimu mzuri, hizi kelele tunazopiga ni kwa manufaa yake ila kwakua anajidai kutojali ipo siku itadoda
Na wewe usijifanye unatujua sana! Kalale Mbele kule
Kwa Aziz Aly hadi Madale? huo n ukiukwaji wa haki za kibinadamu
Mimi nakulipa hela huwezi nilitea ujeuri.... Mbona shule kubwa Kama feza hawana ujeuri
Academic wise wako poa sana, madhaifu yao ni usafiri tu na mengine madogo madogoATLAS MADALE PRIMARY SCHOOL - PS0203126
WALIOSAJILIWA : 263
WALIOFANYA MTIHANI : 263
WASTANI WA SHULE : 191.8669
KUNDI LA SHULE : Watahiniwa 40 au zaidi
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIWILAYA: 8 kati ya 96
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIMKOA : 35 kati ya 433
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KITAIFA : 160 kati ya 9736