only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Leo katika mkutano ulioandaliwa jijini DSM na Vijana wanaojiita wapenda Amani.
Hotuba mbalimbali zimetolewa na moja ya mtoa hotuba halikuwa ni Bwana Mrema...Kama wanaume walipaswa waongee wazi kuwa wanataka nini..zaidi wamezunguka zunguka tu huku wakisema amani inataka kupotwezwa na watu wachache...napenda kusema yafuatayo kwa hao vijana
Amani bila hali nzuri ya maisha ni bora tupigane vita mara mia
Hao wanaowatuma kusema amani bado tunaipenda wana lengo la kuilinda hii amani hata kwa kuzuhia haki za watu kusema ili waendelee kutuibia kama kawaida yao.
Nawahasa wasitumiwe na majangili na wezi wa nchi yetu.
NAPENDA KUWASILISHA...
source:TBC1 NEWS BULLETIN
Hotuba mbalimbali zimetolewa na moja ya mtoa hotuba halikuwa ni Bwana Mrema...Kama wanaume walipaswa waongee wazi kuwa wanataka nini..zaidi wamezunguka zunguka tu huku wakisema amani inataka kupotwezwa na watu wachache...napenda kusema yafuatayo kwa hao vijana
Amani bila hali nzuri ya maisha ni bora tupigane vita mara mia
Hao wanaowatuma kusema amani bado tunaipenda wana lengo la kuilinda hii amani hata kwa kuzuhia haki za watu kusema ili waendelee kutuibia kama kawaida yao.
Nawahasa wasitumiwe na majangili na wezi wa nchi yetu.
NAPENDA KUWASILISHA...
source:TBC1 NEWS BULLETIN