matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,371
Katika tafiti mbalimbali zinaonyesha jamii ya watu wanaoongoza kujiua ulimwenguni.
Hata hivyo jamii hii inqyokuwa kwa kasi, yenye watu wajivuni wanaodhani wametaka akili mpya nakuwaita watu wa dini mambumbumbu wengi wao licha ya uchangamfu wa nje na kimaandishi ndani ni wachovu, wanamisongo ya mawazo na hawana matumaini kama wengi wanavyowahusudu.
Jamii hii ya watu imechochea ongezeko la simanzi, misongo na mahonjwa ya akili ulimwenguni, achilia mbali kuwa mbeleko inayochochea Ushoga na Usagaji maana kwao hakuna chanzo wanachotumia kutafsri jinsi na jinsia.
Ni hayo tu.
Hata hivyo jamii hii inqyokuwa kwa kasi, yenye watu wajivuni wanaodhani wametaka akili mpya nakuwaita watu wa dini mambumbumbu wengi wao licha ya uchangamfu wa nje na kimaandishi ndani ni wachovu, wanamisongo ya mawazo na hawana matumaini kama wengi wanavyowahusudu.
Jamii hii ya watu imechochea ongezeko la simanzi, misongo na mahonjwa ya akili ulimwenguni, achilia mbali kuwa mbeleko inayochochea Ushoga na Usagaji maana kwao hakuna chanzo wanachotumia kutafsri jinsi na jinsia.
Ni hayo tu.