Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,141
- 143,737
Watu wanaosoma dini kwa undani wengi wanagundua kwamba ni uongo.
Hata wanaoamua kubaki kwenye Imani wanabaki humo si kwa sababu wanaamini Mungu yupo, wanabaki kwenye Imani kwa sababu wanaamini Imani ina uwezo mkubwa na mzuri wa kuwafanya watu waishi kwa order.
Watu wengi wakijua ukweli kwamba Mungu hayupo watashindwa kuishi maisha ya order.
Hilo ndilo linafanya wengi waliosoma dini/ theology wabaki kwenye Imani.
Si ajabu Papa akawa haamini Mungu yupo, ila anaamini kwamba kuna umuhimu wa kusema yupo.
Maombi kwa kitu ambacho huna uhakika kama kipo?Mwishon ndo umeharibu unafanya maomb kwa namna unayoijua ww lakin hujui kaz ya maombi.kaz ya maombi ni kuachilia nguvu za kimungu(kwa mwamin) na nguvu hzo mungu huzitumia kujibu utakalo kwa kuwa mungu huutawala ulimwengu kwa kutumia wamwaminio.hoja c mungu kuckia kama ni hivyo haina haja ya kuomba kwakuwa mungu anayajua utakayo kabla hujaomba hivyo bac hatuombi ili mungu atuckie.lakin pia kuna aina za maomb na namna ya kuomba.nikusih sasa mm nimepewa neema ya siri hii nawe tafuta kwa bidii kuucaham ufalme wa kimungu na sliha zake.kuomba pia ni iman
Hvi ww huoni aibu kuendelea kuandika huu upumbav mwenzio anakwambi vtu vya maana ww unaandika ujinga na upumbavNinakupa habari ya tumaini langu nililonalo katika Kristo Yesu mfufuka. Yeye aliyesema ndiye njia kweli na uzima na pia akawaita wote waliolemewa na mizigo naye atawapumzisha huyo ndiye ninaye mwamini na kumfuata. Mtume Paulo alisema mtu yoyote asimbue kwa jambo lolote kwani amebeba chapa ya Kristo. Kwa habari ya imani nyingine kinyume na imani niliyonayo katika Kristo Yesu usiniulize kwa maana sina chapa yake hata kidogo. Kikubwa hapa ni kumwaga sera anayeshida huyo unamfuata ukiona shida unapotezea ila tambua Kristo Yesu ni Bwana na ndiye atakaye hukumu ulimwengu kwa habari ya haki na hukumu hata ukikataa yeye atabaki wa kuaminiwa milele.
Well said,Na hata wasomi wa fani zingine nao hivyo hivyo.
Wapo ninaowafahamu mimi ambao wanakubali kabisa kuwa hayo mambo ya mungu ni hekaya tu kama za Abunuasi.
Lakini pia wanakubali dini zina baadhi ya vitu ambavyo ni vizuri na kama mtu akijitahidi kwa kadri ya uwezo wake kufuata hayo yaliyo mazuri, mtu huyo ataishi maisha ya uadilifu.
Huwa natolea mfano zile amri 10 za mungu [kwa hisani ya mshua].
Usiue, usiibe, usizini, usiseme uongo....yote hayo ni mambo mema ambayo watu tunapaswa kuyafuata.
Ubaya wa kuyafuata hayo ni upi kwa mfano? Mimi siuoni!
Naona ni mambo mema kabisa.
Well said,
Dini huwa zina vitu vizuri Sana katika jamii mfano kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
Pia hata misaada mbalimbali pale ambapo kuna uhitaji.
Hivyo vitu ndivyo vinapelekea natambua umhimu wa dini.
Ingawa siyo kwamba watu wanakumbatia dini kwa sababu Mungu hapana ni kwa sababu zina faida ndani yake.
Watu wanaosoma dini kwa undani wengi wanagundua kwamba ni uongo.
Hata wanaoamua kubaki kwenye Imani wanabaki humo si kwa sababu wanaamini Mungu yupo, wanabaki kwenye Imani kwa sababu wanaamini Imani ina uwezo mkubwa na mzuri wa kuwafanya watu waishi kwa order.
Watu wengi wakijua ukweli kwamba Mungu hayupo watashindwa kuishi maisha ya order.
Hilo ndilo linafanya wengi waliosoma dini/ theology wabaki kwenye Imani.
Si ajabu Papa akawa haamini Mungu yupo, ila anaamini kwamba kuna umuhimu wa kusema yupo.
Ila wao wanasema sio imaniDini ni imani, ukitaka kumshirikisha mtu katika imani yako mjenge kiimani. Usiione imani yako ndio sahihi. Atheist hawana imani nusu na robo. Ni watu wa mwanzo kuamini uwepo wa dini lakini wakikua ni wa kwanza kutoka. Ni pale wanapoanza kupata uelewa na kuanza kuhoji kwa nini na kwa vipi. Imani haina majibu kwa maswali yao na hapo ndio hujitoa kuendelea na maswali yao yanayowapeleka kwenye ugunduzi wa mambo mengi. Usiwalaumu, nao ni imani yao kuwa hakuna mungu.
Amini Mungu yupo uenda umkose kuliko kuamini hayupo uende umkute, itakuwa ni kilio na kusaga meno!
Hakika Mkuu.Lakini pia hufanya watu wawe wajinga, wapumbavu, na wazembe kupindukia.
Mambo ya kumwachia mungu kila kitu ni ujuha.
Kuna watu huwa wanakataa hadi matibabu ya hospitalini kisa tu mwanamuamini mungu.
Kuna watu wamemtumia huyo huyo mungu kukandamiza wenzao [kwanza mungu gani hata anaruhusu mambo kama hayo kutokea?].
Tuseme Mungu anaishi kwa kuwatega wanadamu ili apate faida gani sasa?
Tatizo linakuja Mungu huyo huyo yuko incoherent, pengine kwenye vitabu vyake mtu ukitaka kufanya mabaya unaweza kutumia maandiko yake ukafanyia mabaya.Na hata wasomi wa fani zingine nao hivyo hivyo.
Wapo ninaowafahamu mimi ambao wanakubali kabisa kuwa hayo mambo ya mungu ni hekaya tu kama za Abunuasi.
Lakini pia wanakubali dini zina baadhi ya vitu ambavyo ni vizuri na kama mtu akijitahidi kwa kadri ya uwezo wake kufuata hayo yaliyo mazuri, mtu huyo ataishi maisha ya uadilifu.
Huwa natolea mfano zile amri 10 za mungu [kwa hisani ya mshua].
Usiue, usiibe, usizini, usiseme uongo....yote hayo ni mambo mema ambayo watu tunapaswa kuyafuata.
Ubaya wa kuyafuata hayo ni upi kwa mfano? Mimi siuoni!
Naona ni mambo mema kabisa.
KAMA YUPO SIO HUYU MUNGU WA WAKRISTO,WAISLAM,BUDHA,HINDUISM ,JEWISH. N.k
Hata mimi huwa nawaza along the same lines...
Nini kiliwakuta Mkuu mpaka mkaacha na upadr. Mm niliishi ktk ukristo zaid ya miaka ishirini km mu anglican mwisho nikaachana nao baada ya kuuanza kutafuta elimu zaid niligundua vtu ambavyo nilishindwa kujibiwaNdio. Namfahamu. Lakini pia kuna Apollo katika historia za maeneo mengine hawakuwa wakristu. I cant be a christian by name, following my parents beliefs au kwa kusoma biblia tu.
I am a free spirit, I am not a follower, I am a seeker.
Before I was a christian, na nilibakiza daraja moja tu kuwa Padre. I dropped na kuendelea na scholarship ya chuo katika masuala ya Archaeology until today I am a scientist not a christian. But Thanks to christianity kwa kunikuza na kunipa elimu. But nafsi yangu ilitamani kujua zaidi ya walichonifundisha wao. Napenda kusoma imani zote nijue zinatazama nini ndipo niamue kuwa mkristu au imani nyingine ambayo itanipa majibu sahihi ya kuhusu mwanadamu na ulimwengu. And bila kuleta mgogoro na tafiti za kisayansi.
Kila mtu ana haki ya kuutafuta ukweli mwenyewe.
Asante.
Umenikumbusha mbali nami ilibaki miez kadhaa niwe p.d.r
Ubaya wake ni kwamba mungu huyohuyo na watu haohao wa kwanza kupewa hizo amri ndio walikuwa vinara wa kuua watu na viumbe visivyo na hatia.Na hata wasomi wa fani zingine nao hivyo hivyo.
Wapo ninaowafahamu mimi ambao wanakubali kabisa kuwa hayo mambo ya mungu ni hekaya tu kama za Abunuasi.
Lakini pia wanakubali dini zina baadhi ya vitu ambavyo ni vizuri na kama mtu akijitahidi kwa kadri ya uwezo wake kufuata hayo yaliyo mazuri, mtu huyo ataishi maisha ya uadilifu.
Huwa natolea mfano zile amri 10 za mungu [kwa hisani ya mshua].
Usiue, usiibe, usizini, usiseme uongo....yote hayo ni mambo mema ambayo watu tunapaswa kuyafuata.
Ubaya wa kuyafuata hayo ni upi kwa mfano? Mimi siuoni!
Naona ni mambo mema kabisa.
Hebu rudia kusoma vizuri nilichokiandika.Theology ni dini moja?
Unafahamu maana ya theology?
Duh! Mkuu au bado unayauliza mavi yangu tumboni?Hujathibitisha, ume assume. Simple as that.
Kama huja assume, thibitisha.
Je,ni yapi ya kukufanya ufuate hizo amri? Ikiwa unajua hakuna mungu unaachaje kuzini kwa mfano?Na hata wasomi wa fani zingine nao hivyo hivyo.
Wapo ninaowafahamu mimi ambao wanakubali kabisa kuwa hayo mambo ya mungu ni hekaya tu kama za Abunuasi.
Lakini pia wanakubali dini zina baadhi ya vitu ambavyo ni vizuri na kama mtu akijitahidi kwa kadri ya uwezo wake kufuata hayo yaliyo mazuri, mtu huyo ataishi maisha ya uadilifu.
Huwa natolea mfano zile amri 10 za mungu [kwa hisani ya mshua].
Usiue, usiibe, usizini, usiseme uongo....yote hayo ni mambo mema ambayo watu tunapaswa kuyafuata.
Ubaya wa kuyafuata hayo ni upi kwa mfano? Mimi siuoni!
Naona ni mambo mema kabisa.