Athari za kutolala kwa wakati

Athari za kutolala kwa wakati

Duu nimekubali..inaonekana mi takuwa wa mwisho kulala leo
 
aisee sisi wengine haiwezekani kulala hata masaa 5 nishuguli sana sana nikijitahidi nalala masaa 3 tuu yanatosha kabisa na kichwa ishakuwa automatic coz haiwezekani kikubali nilale Masaa yote hayo coz lazima usingizi ukate tuu.

acheni jamani wengine tunamajanga sana nazani uchizi ni saizi yetu.
 
aisee sisi wengine haiwezekani kulala hata masaa 5 nishuguli sana sana nikijitahidi nalala masaa 3 tuu yanatosha kabisa na kichwa ishakuwa automatic coz haiwezekani kikubali nilale Masaa yote hayo coz lazima usingizi ukate tuu.

acheni jamani wengine tunamajanga sana nazani uchizi ni saizi yetu.

Kaka kumbe tupo wengi wenye ugunjwa huo...
 
Kuishi tu Tanzania unakuwa umeshakuwa very close na death, malaria, typhoids, ajali, ukimwi, dengue yani ishu ya usingizi is very insignificant

Hawa wazungu bwana wana tutishia sana na hizi tafiti zao mwisho wa siku watasema kufuga nywele kuna athari kiafya.
 
Niliwahi kipanda bed saa mbili unusu, nimeamka saa tano dk 20 hivi, hii ndio imetoka hakuna kulala wala usingizi!

Inategemea ulikula chakula gani usiku maana kuna vyakula vingine ukila usiku unaota 'unazikwa' sa unadhani usingizi utakuja hapo?
 
Tungoje tu hizi athari maana kwa life style yetu.........

Kabisa yani,kuna kipindi huwa naamka sa kumi alfajiri then mchana kutwa niko na hekaheka ikifika sa kumi na mbili jioni niko kwenye gari nasafiri usiku kucha to dar na nikifika dar sipat muda wa kupumzika wala nini full time ni harakati tuu...kama kweli hizi athari zipo acha na zije tu daah....
 
kama upungufu wa nguvu k!wa wanaume je kwa wanawake ikoje hii
 
Wengi wanaopenda michepuko ni wanaofanya kazi mazingira ya ucku mfano askari na madereva.vipi hao kwa issue ya nguvu za kiume cz huwezi kwenda kucheza mechi kama hauko fiti
 

hivi kwanini hapo red hapakosagi wadau...kila impact inayotokea hapo kama kawa lazima pahusike!!! mbombo ngafu!!

Hahahaha....kwa sababu kila mtu anapaogopa kwa hiyo kila anayeona hapo lazima ashituke na kuchukua hatua
 
Usingizi ni moja kati ya starehe kubwa duniani ila piA ni kinga dhidi ya magonjwa.imefahamika kuwa watu wengi duniani hawa lali kwa wakati kutokana na mihangaiko ya kimaisha kwa kawaida binadamu anatakuwa alale masaa 8-9.
hizi ndizo athari za kuto lala kwa wakati;
-shinikizo la moyo.
-ugonjwa wa kisukari.
-hasira za mara kwa mara.
-kuwa na uwezo mdogo wa kufikiria.
-upungufu wa nguvu za kiume.

JIULIZE WEWE UNA LALA MASAA MANGAPI?

Kwa hisani ya BBC swahili.

Ripoti hii itawafaa hawa wapiga debe kina Remote na Nkwesa Makambo.
Manake hawa jamaa wanaanza kazi ya kupiga debe toka saa kumi alfajiri mpaka saa sita usiku.!
Halafu msosi wenyewe kwa mamantilie pale shule ya uhuru!

Wakitoka hapo ni kunywa mapuya na kangara ya bei poa!

Yaani hawa wakimaliza miaka miwili wako hai. Basi ujue wana bahati sana.
 
Last edited by a moderator:
Unakutana na wanafunzi wa form six wao wanalala masaa mawili tu kwa siku
 

aisee sisi wengine haiwezekani kulala hata masaa 5 nishuguli sana sana nikijitahidi nalala masaa 3 tuu yanatosha kabisa na kichwa ishakuwa automatic coz haiwezekani kikubali nilale Masaa yote hayo coz lazima usingizi ukate tuu.

acheni jamani wengine tunamajanga sana nazani uchizi ni saizi yetu.

Kabisa yani,kuna kipindi huwa naamka sa kumi alfajiri then mchana kutwa niko na hekaheka ikifika sa kumi na mbili jioni niko kwenye gari nasafiri usiku kucha to dar na nikifika dar sipat muda wa kupumzika wala nini full time ni harakati tuu...kama kweli hizi athari zipo acha na zije tu daah....

Unakutana na wanafunzi wa form six wao wanalala masaa mawili tu kwa siku


Hasa wale wa PCB,halafu wana mwalimu kilaza.
 
Usingizi ni moja kati ya starehe kubwa duniani ila piA ni kinga dhidi ya magonjwa.imefahamika kuwa watu wengi duniani hawa lali kwa wakati kutokana na mihangaiko ya kimaisha kwa kawaida binadamu anatakuwa alale masaa 8-9.
hizi ndizo athari za kuto lala kwa wakati;
-shinikizo la moyo.
-ugonjwa wa kisukari.
-hasira za mara kwa mara.
-kuwa na uwezo mdogo wa kufikiria.
-upungufu wa nguvu za kiume.

JIULIZE WEWE UNA LALA MASAA MANGAPI?

Kwa hisani ya BBC swahili.

Ahsanten kwa kutujuza.
 
Back
Top Bottom