Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Usingizi ni moja kati ya starehe kubwa duniani ila piA ni kinga dhidi ya magonjwa.imefahamika kuwa watu wengi duniani hawa lali kwa wakati kutokana na mihangaiko ya kimaisha kwa kawaida binadamu anatakuwa alale masaa 8-9.
hizi ndizo athari za kuto lala kwa wakati;
-shinikizo la moyo.
-ugonjwa wa kisukari.
-hasira za mara kwa mara.
-kuwa na uwezo mdogo wa kufikiria.
-upungufu wa nguvu za kiume.
JIULIZE WEWE UNA LALA MASAA MANGAPI?
Kwa hisani ya BBC swahili.
hizi ndizo athari za kuto lala kwa wakati;
-shinikizo la moyo.
-ugonjwa wa kisukari.
-hasira za mara kwa mara.
-kuwa na uwezo mdogo wa kufikiria.
-upungufu wa nguvu za kiume.
JIULIZE WEWE UNA LALA MASAA MANGAPI?
Kwa hisani ya BBC swahili.