Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,658
- 22,255
Kutokijua kiingereza kumetufanya tushindwe kupata kazi za kufundisha kiswahili Afrika Kusini, badala yake wamepata wakenya.Wewe umeajiriwa nchi gani kwa kujua kiingereza
Kutokijua kiingereza kumetufanya tushindwe kupata kazi za kufundisha kiswahili Afrika Kusini, badala yake wamepata wakenya.Wewe umeajiriwa nchi gani kwa kujua kiingereza
Wewe unajua kingereza? Niwekee andiko ulilowahi andika tangu umalize ngazi ya elimu ulioishia ili nithibishe kujua kwako.Tatizo hujui kiingereza ndio maana unakichukia!!! Na sio wewe tu mpo wengi!!! Mtia mada ametaja athari za kutijua kiingereza vizuri wewe unaleta mambo ya kukinganisha !!! Hivi milsomea wapi!?
Mkuu upo sahihi kabisa. Ila ujue kuwa hizo nchi zimeshaendelea kwa technology lakini sisi tunahitaji misaada ndio maana tunahimizana kujiendeleza kwa lugha za wanaotusaidia.Ujerumani na Japan ni nchi zenye teknolojia kubwa duniani na hawatumii kiingereza katika mitaala Yao yote na hata Kama lugha ya Taifa , Taifa imara ni lile linalosimamia misingi yake kuanzia kuwa na lugha yake wenyewe ukisema tuhamasishwe kutumia kiingereza ina maana unaturudisha katika utumwa wa kifikra na kuendelea kujiona dhaifu Kwa kudharau vitu vyetu
Unaogopa kidhunguWewe unajua kingereza? Niwekee andiko ulilowahi andika tangu umalize ngazi ya elimu ulioishia ili nithibishe kujua kwako.
Kama unashangaa mimi kulinganisha basi wewe ulisoma chini ya mwembe.
Hadi wana sheria hulingnisha kesi sembuse jf , huwezi kufanya jambo lolote hapa duniani bila kulinganisha, Ulitaka mimi nishabikie kama wewe ?
Sikufundishwa kushabika bali kuhoji na kujenga hoja.Kama huna hoja kaa pembeni au endelea kumshabikia mtoa mada.
Can you show me please where I said to speak english is slavery?Kuongea kiingereza sio utumwa!?? Mluokimbia umande acheni ujinga!? Nyerere aliijua vizuri hii lugha alijua mtumwa!?? Tatizo watanz wapumbavu ni wengi hasa huko chamani
Unaweza kunionyesha mapingo yangu? Tatizo lako linaanzia hapo!Unapinga hata jambo la busara kama hili hizi akili za ccm zinatabu sana.
Naona hukunielewa kuhusu mfano wa China. Nimejaribu kuonyesha kwa wale wanaotaka tuamini kuwa china imeendelea kwa kutumia mandarin tu. Kitu ambacho si kweli.We jamaa serikali ya Tanzania haipeleki wvijsna kwenda kusoma huko ulaya na America?
Wachina na sisi nani syllbus yao imebebwa na kingereza zaidi?
Mnatafuta mchawi kila uchwao, tatizo la maendeleo ya Africa si lugha bali ni zaidi ya lugha.