Athari za kulazimisha mahusiano

Athari za kulazimisha mahusiano

Hilo ndilo jibu ni utoto kwenda ujana
sisi tumeshaoa tuna majukumu ya kulea watoto mtaapofika hapo mtaona watoto wanawaunganisha na hakuna mateso hayo
kwani stress za watoto tu zatosha
  • ada ya chekechea
  • malipo ya matibabu
  • chakula tofauti cha watoto
  • mavazi
  • Klinik, uumini wa DINI, malezi kibao
vyote hivyo vinakusubiri huwezi anzisha mapenzi ya kutesana hadi kujipiga risasi km hao wachagga ambao wanaacha kutafuta hela mapenza yatakuja tu

Kumbuka huwezi jua kama angekuja kukutesa ...

Wengi sana wameanza safari ya mapenzi pamoja, ila mwisho wa siku wameishia katikati ya bahari..
 
Hi hi hii...jaman leo mbona nakutana na thred za kutendwa tu Mmmh inaniuma mpaka baasi! kidonda changu chenyewe kibichi Ooh my God...im dying nilizama mzima mzima na viatu kwa mtu mpumbavu kisha shukran ikawa teke!.Ndio sijakata tamaa napanga kumtafutia WAKORA WAMPIGE HADI ALIE ZAIDI YA NLIVYOLIA MIMI AJUE NA MIMI NINA MOYO NA NINAUMIA.AJUTE KUZALIWA!!!
 
Hi hi hii...jaman leo mbona nakutana na thred za kutendwa tu Mmmh inaniuma mpaka baasi! kidonda changu chenyewe kibichi Ooh my God...im dying nilizama mzima mzima na viatu kwa mtu mpumbavu kisha shukran ikawa teke!.Ndio sijakata tamaa napanga kumtafutia WAKORA WAMPIGE HADI ALIE ZAIDI YA NLIVYOLIA MIMI AJUE NA MIMI NINA MOYO NA NINAUMIA.AJUTE KUZALIWA!!!

Kuna uwezekano kabisa mpumbavu alikuwa wewe uliyezama mzima mzima, hukuwa na vigezo vya kuwa nae then akakuacha, hadi Leo hujagundua kuwa wewe ndio uliyekuwa mpumbavu....banghead
 
Kumbuka huwezi jua kama angekuja kukutesa ...
Wengi sana wameanza safari ya mapenzi pamoja, ila mwisho wa siku wameishia katikati ya bahari..
ww km ni Mchagga Kiwelu mapenzi yatakubabaishaje
wenzako wote wake wanawaacha mgombani sasa mjini unapewa mapenzi ya papuchi gani mpaka akutese na kujinyonga
nachozungumzia hapa ni Watoto ndio urithi wako watafutie Elimu km mali ni zao baadaye achana na wivu wa kitoto UKUE SASA
 
Hi hi hii...jaman leo mbona nakutana na thred za kutendwa tu Mmmh inaniuma mpaka baasi! kidonda changu chenyewe kibichi Ooh my God...im dying nilizama mzima mzima na viatu kwa mtu mpumbavu kisha shukran ikawa teke!.Ndio sijakata tamaa napanga kumtafutia WAKORA WAMPIGE HADI ALIE ZAIDI YA NLIVYOLIA MIMI AJUE NA MIMI NINA MOYO NA NINAUMIA.AJUTE KUZALIWA!!!

wala haina haja kumtafutia wakora..kuna lesson kubwa kakuachia..usipoijua leo itakufaa ksho..tuliza akili yako una mengi ya kufanya...maisha mafupi haya kubba vinyongo vya watu..lastly..jifunze kusamehe COUNT YOUR BLESSINGS INSTEAD OF YOUR CURSE..THANKS
 
wala haina haja kumtafutia wakora..kuna lesson kubwa kakuachia..usipoijua leo itakufaa ksho..tuliza akili yako una mengi ya kufanya...maisha mafupi haya kubba vinyongo vya watu..lastly..jifunze kusamehe COUNT YOUR BLESSINGS INSTEAD OF YOUR CURSE..THANKS

Thanx alot for your advice.Ushauri wako ntaufanyia kazi.Stay blessed!
 
Kuna uwezekano kabisa mpumbavu alikuwa wewe uliyezama mzima mzima, hukuwa na vigezo vya kuwa nae then akakuacha, hadi Leo hujagundua kuwa wewe ndio uliyekuwa mpumbavu....banghead

Excuse me?!!! ulikwepo wakati vigezo vilipelea?? Upambavu halisi ni huo wakumtetea mpumbavu mwenzako kwa yasiyokuhusu! idiot
 
Excuse me?!!! ulikwepo wakati vigezo vilipelea?? Upambavu halisi ni huo wakumtetea mpumbavu mwenzako kwa yasiyokuhusu! idiot


Unazidi kuthibitisha kuwa bado hujatambua upumbavu wako kwa maneno yako mwenyewe.

Lakini bahati nzuri kuna mwanamke mwenzako hapo juu kajitahidi kuonyesha wapi upumbavu wako upo, nawe umekubali na kuahidi utaufanyia kazi huo upumbavu.

Nenda kafanyie kazi huo upumbavu uliouthibitisha hapo juu (kama ulivyomuahidi mwanamke mwenzako), tunahitaji wanawake werevu.
 
Naunga mkono hoja kwa 100%....speaking from experience kabisa.
 
Asikwambie mtu ...kuna watu wana ulimbo utakuta ni kicheche balaa lakin anang'oa toto mbichii za ukweli ambazo wewe unaomba kuoa..lakin yeye anazizindua na kutupa kule..hap nakumbuka usemi women are inspired
 
Penda unapopendwa, usipopendwa stress zinatosha.Ni ukweli kuwa wanaume tulio wengi tumekuwa ving'ang'anizi kwenye suala la mapenzi. Kwa kulazimisha huko kumepelekea baadhi ya wanaume kuingia kwenye mlango wa kifo, kukata tamaa, kujishusha thamani n.k.

Kulazimisha penzi kumekuwa na athari kubwa za moja kwa moja kuliko faida tulizozitarajia hapo awali.Mwanamke ni kiumbe dhaifu pale tu unapomtongoz na kukukatalia zaidi ya mara 4 na ya 5 akakukubalia lazima utambue huo uamuzi wake ni wa kujilazimisha na si wa hiari yake.

Wote tunajua mwanamke mwerevu hawezi kumkubali mwanaume kirahisi, ila kuna kule kuona wazi anasisitiza kitu kuwa hakutaki na pia hakupendi.Mwanamke wa kulazimisha badala ya kukuita honey, baby, mpenzi yeye atakomaa na jina lako halisi na ukihoji atakwambia si lazima "nikuite bby" kwani we mtoto.

Kwa misingi hiyo mwanaume unategemea nini hapo zaidi ya kuingia kwenye ulingo wa penzi la mateso.Huyo mwanamke naye jua akipata ampendaye hatokwambia ila ukweli ukiujua utakuwa ndiyo mwisho wa penzi lako na kuanza kuishi maisha ya kuteswa na mapenzi na wivu usio na mipaka.

Kama ni mwanafunzi haijalishi ulikuwa kichwa hapo kuanguka kitaaluma ni muhimu.kama ni mwajiriwa basi ajira yako itakuwa shakani kwa kuwaza mateso ya penzi kuliko kazi mwisho nikuachishwa kazi.Kama ndo Mfanyabiashara huo ndo wakati wa kujuta kwani mapenzi ya pesa yanatumia hadi mtaji kwani utakapokumbuka muda utakuwa umepita na huna namna tena.

Mwisho wa mapenzi ya kulazimisha ni :-

#Kujinyonga . (hehe)
#Kuua bila ridhaa yako.
#Kuwa kichaa wa penzi la mateso (gogo)
#kufilisika kimtaji na kimawazo
kujipiga risasa (Chagga

Onyo mapenzi ni ushawishi na si kulazimishana.

kufoc n kawaida na ushawish mkubwa atoke alipo auungàne na ww
bt àkikuçhukia atakupenda tu mwishowe,,,## there iz no permanent NO!!!, NO is just for circumstance!!!!

ova!
 
ww km ni Mchagga Kiwelu mapenzi yatakubabaishaje
wenzako wote wake wanawaacha mgombani sasa mjini unapewa mapenzi ya papuchi gani mpaka akutese na kujinyonga
nachozungumzia hapa ni Watoto ndio urithi wako watafutie Elimu km mali ni zao baadaye achana na wivu wa kitoto UKUE SASA

Asante kwa ushauri ila sikufika huko ulikofika.
 
Hi hi hii...jaman leo mbona nakutana na thred za kutendwa tu Mmmh inaniuma mpaka baasi! kidonda changu chenyewe kibichi Ooh my God...im dying nilizama mzima mzima na viatu kwa mtu mpumbavu kisha shukran ikawa teke!.Ndio sijakata tamaa napanga kumtafutia WAKORA WAMPIGE HADI ALIE ZAIDI YA NLIVYOLIA MIMI AJUE NA MIMI NINA MOYO NA NINAUMIA.AJUTE KUZALIWA!!!

Mkuu wacha mapenzi ya visasi, mwenzio amekuchoka amejiengua...yanini kulazimisha love??
Cc The Boss
 
Last edited by a moderator:
Love is not something that can be forced. We cannot guilt someone into loving us. We can demand that they love us; however, that tends to have the opposite effect. In order to gain love, we must give love. Consider that people love us because of the way they feel about themselves when they are with us. Are your thoughts, words and actions are building the other person up, thus building the relationship or are they having the opposite effect?

On the other hand can we force ourself to love someone that we do not feel that we love? The obvious answer is no; however, we can choose to behave lovingly and we can allow loving feelings to grow. People may mistakenly believe that they have to feel as if they love someone, in order to behave as if they love them. The reality is the loving feelings follow loving thoughts and actions

cc: Forcing Love
 
Ving'ang'anizi ndio wanaodumu kwenye mahusiano/ ndoa.

Ukidai unajua kujipenda wewe kwanza utabadilisha kila mwezi.
Stress ndio penzi linakomaa.


Ila mie sihusiki aku.
 
Hi hi hii...jaman leo mbona nakutana na thred za kutendwa tu Mmmh inaniuma mpaka baasi! kidonda changu chenyewe kibichi Ooh my God...im dying nilizama mzima mzima na viatu kwa mtu mpumbavu kisha shukran ikawa teke!.Ndio sijakata tamaa napanga kumtafutia WAKORA WAMPIGE HADI ALIE ZAIDI YA NLIVYOLIA MIMI AJUE NA MIMI NINA MOYO NA NINAUMIA.AJUTE KUZALIWA!!!
Kumpiga???
 
Back
Top Bottom