Kwanza tukumbuke,dhambi iliingia duniani kupitia mwanamke,baadhi ya watu [ktk historia]na hata wafalme,walipotoshwa na hata kufikwa na umauti kwasababu ya mwanamke [mf.Samsoni,Yohana mbatizaji n.k/Mfalme Suleiman n.k].
Shetani alishaigundua njia nzuri na rahisi kwake ya kuikamata na hata kuitawala dunia ni mwanamke,sasa anataka dunia/ulimwengu umwabudu yeye, ili afanikishe azma yake hiyo, anamtumia mwanamke kwa kumpa nguvu kisiasa na kiuchumi dhidi ya mwanaume [kiongozi aliye jisahau].
Kiufupi,anawatumia mawakala wake na vyama vyao vya siri pamoja na taasisi kubwa kama UN,WHO, World Economic Forum n.k. pamoja na upapa kuvuruga ulimwengu/dunia kwa maovu mengi ikwemo ushoga n.k.ili watimize ajenda zao kuelekea New World Order. Muda hautoshi,ila tafuta [Google]UN agenda 2021-2030 Goals.