Athari ya vita ya Urusi yafika Azam TV, yapandisha bei ya vifurushi

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,445
7,816
Naona kifurushi chenye kuonyesha mpira sikielewi, nikajiuliza nini tena.. Kumbe ndugu zetu wameshabadilisha bei japo hawajatoa promo watumiaji tuwe hadhiri kama ambavyo wanatoa promo kwenye majambo yao mengine. Mtutangazie, wengine bado tunalipa bei za zamani na sababu za mabadiliko ya bei ikiwapendeza.

TFF kutoa mkataba wa miaka mingi kwa hawa jamaa alizingua, bora msimu ujao wa ligi angejaribu mwingine kama gharama zimewashinda.

Azam TV.jpg
 
Naona kifurushi chenye kuonyesha mpira kimepanda, nikajiuliza nini tena.. Kumbe ndugu zetu wameshabadilisha bei japo hawajatoa promo watumiaji tuwe hadhiri kama ambavyo wanatoa promo kwenye majambo yao mengine. Mtutangazie, wengine bado tunalipa bei za zamani na sababu za mabadiliko ya bei ikiwapendeza.

TFF kutoa mkataba wa miaka mingi kwa hawa jamaa alizingua, bora msimu ujao wa ligi angejaribu mwingine kama gharama zimewashinda.

Kwingine wapi ambapo hakujaathiriwa na vita!
 
Naona kifurushi chenye kuonyesha mpira kimepanda, nikajiuliza nini tena.. Kumbe ndugu zetu wameshabadilisha bei japo hawajatoa promo watumiaji tuwe hadhiri kama ambavyo wanatoa promo kwenye majambo yao mengine. Mtutangazie, wengine bado tunalipa bei za zamani na sababu za mabadiliko ya bei ikiwapendeza.

TFF kutoa mkataba wa miaka mingi kwa hawa jamaa alizingua, bora msimu ujao wa ligi angejaribu mwingine kama gharama zimewashinda.

Mbona nyie mna afadhali

Huku DStv mbona siye kifirushi cha chini ni 9k,na cha juu ni around 145k?
 
Rejea tittle ya mada yako.
Title inamaanisha masingizio, zipo sekta zimebaki na bei ya zamani na zipo ambazo zimetumia fursa kufanya mabadiliko ya bei. Niambie ndugu yangu, Azam TV wana gharama gani 'material' zenye uwezo wa kubadilisha bei zenye uhusiano wa moja kwa moja na vita?

Kama daladala ambazo sehemu kubwa ya uendeshaji wake ni mafuta na yamepanda lakini bado wanasikilizia, Azam kiherehere amekitoa wapi cha kuongeza 15%!
 
Wafanyakazi wa nyanza bottlng waliokuwa wanaendesha magari ya vinywaji wote wamerudi kwao ukraine kupigana vita,sasa hv kiwanda kinatumia boda boda kusupply. Ndo maana coca imepanda kutoka 500 mpaka 600.
 
Wafanyakazi wa nyanza bottlng waliokuwa wanaendesha magari ya vinywaji wote wamerudi kwao ukraine kupigana vita,sasa hv kiwanda kinatumia boda boda kusupply. Ndo maana coca imepanda kutoka 500 mpaka 600.
Kumbe
 
Ndio maana wachina wamempiga tobo....acha tujilie bureee! aliyewaambia wafanyabiashara wa Tanzania kuwa kuongoza bei ya huduma kunaongeza faida ni nani? Ongeza idadi ya watumiaji wa huduma kwanza kabla hujaongeza bei!
 
Naona kifurushi chenye kuonyesha mpira sikielewi, nikajiuliza nini tena.. Kumbe ndugu zetu wameshabadilisha bei japo hawajatoa promo watumiaji tuwe hadhiri kama ambavyo wanatoa promo kwenye majambo yao mengine. Mtutangazie, wengine bado tunalipa bei za zamani na sababu za mabadiliko ya bei ikiwapendeza.

TFF kutoa mkataba wa miaka mingi kwa hawa jamaa alizingua, bora msimu ujao wa ligi angejaribu mwingine kama gharama zimewashinda.

Hizi bei tulipandishiwa tangu tarehe 01/04/2022 Sheikh. Wenzako tumeshaanza kuzoea maumivu.
 
Naona kifurushi chenye kuonyesha mpira sikielewi, nikajiuliza nini tena.. Kumbe ndugu zetu wameshabadilisha bei japo hawajatoa promo watumiaji tuwe hadhiri kama ambavyo wanatoa promo kwenye majambo yao mengine. Mtutangazie, wengine bado tunalipa bei za zamani na sababu za mabadiliko ya bei ikiwapendeza.

TFF kutoa mkataba wa miaka mingi kwa hawa jamaa alizingua, bora msimu ujao wa ligi angejaribu mwingine kama gharama zimewashinda.

Mbona wamepandisha kidogo, nadhani walitakiwa angalau iwe 250,000 hicho cha 8,000, 350,000 kile cha 15,000, 650,000 kile cha 23,000, na 850,000 kile cha 35,000, wangeleta kifurushi kinge cha 1,550,000 kwa ajili ya kuangalia filamu za USA na Ulaya. TV kwa watu masikini si njema sana, ni muhimu access ya TV iwe kwa watu wenye uwezo wa kifedha tu.
 
Mwenye Nyumba nae kapandisha Kodi anasema, garama za uendeshaji na athari za vita ya Ukraine
Pole sana mkuu sema nyumba ukiweza hama, kuna options nyingi. Huyu ndugu kafanya monopoly kwenye ligi ya TZ tena ya miaka na miaka halafu anatuongezea bei apendavyo..
 
Back
Top Bottom