ATCL Yasitisha Safari zake

ATCL Yasitisha Safari zake

Dude ilikuwa ukipanda unalisikia springs zinasuguana kama mkweche, bora waachane nalo, lingeweza kuleta ajali.

Mimi sikuwahi panda kabisa huwa nafsi yangu hainikubalii kupanda hili daladala bovu linalopita angani.
Wana mikwara sana ya kununua uniform za gharama ila ndege wanakodisha.
A joke of an airline.
 
kwanini serikali inunue hisa PA tatizo letu ni kama hatuwezi kufufa ATCL basi tuiue ijulikane kimoja walioanzishaPA na wanahisa ni viongozi wa serikalina ndio walioua shirika kwa mikataba mibovu.Serikali ibadili mfumo wa uendeshaji wa ATCL watoe mtaji halafu waajiri menejimenti ya kuliendesha na zoezi la kuajiri menejimenti lifanyike kwa uwazi na uadilifu mkubwa
 
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nilikuwa katika safari zangu za kikazi mchana wa leo, nikashangaa kuiona hapa uwanja wa Bole Addis Ababa (Ethiopia). Nimejiuliza maswali lukuki bila kupata jibu la uwepo wa ndege yetu hapa. Nikahisi labla itakuwa imekuja kwa matengenezo fulani lakini ilipopaki ni mbali na eneo ambalo hufanyiwa service ndege za wenyeji. Anyway, hope tutapata majibu ya maswali yetu soon.
 
Kweli ndege ya ATCL ni nzuri sana, nimetoka mwanza juzi terehe 31 July ingawaje ndege haikujaa na huduma si za kiwango lakini nimeipenda, ushauri wangu kwa serikali ni kutangaza hisa za ATCL na kuweka kampeni kubwa ndani na nje ya nchi, hapo shirika litakuwa kwa kasi kubwa, ninacho fahamu ni kuwa precision wanafanya mbinu za aina yeyote ATCL isifanye kazi kwani tulikuwa tusafiri na ATCL kwenda mwanza wiki 1 iliyopita na ikapita tatizo la kioo, ikabidi tupelekwe durban hotel mnazi mmoja, asubuhi tukiwa airport niliona jinsi tulivyo baguliwa abiria ATCL na mhudumu wa Preccision kwa kutuweka pembeni na kuita abiria wao, najua alitaka tuichukie ATCL lakini bado naipenda ATCL, Nimerudi juzi nimekuta Precision wameongeza boing 2 jumla zitakuwa 3 so nia yao watawale soko la flight Tanzania, big up fly 540 mnaipa challenge precision.
 
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hii wizara ni ngumu kama ile ya madini na Nishati kwani matatizo yake ni systemic na tunaweza kuyafananisha na generational curse hivyo hata aje Waziri smart namna gani lazima itamshinda. Matatizo yake ni sugu na hivyo yanahitaji ku-clear mikataba na matatizo ya nyuma kabla ya kupambana na ya sasa. Mwakyembe anatibu symptoms badala ya kutafuta cause
 
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Binafsi tangu ATCL ilipoanza safari nliapa sitotumia ndege za mzshirika binafsi ya ndege, Dhumuni langu kama mzalendo ilikuwa ni kutoa suport kwa shirika la umma...


TATIZO WANAMATUMIZI YA KIPUUZI YANAYOONGEZA GHARAMA ZA UENDESHAJI unadhani madeni watalipaje? Kabla hawajaamza safari nlikuwa nikitumia Fly 540 ndani cabin crew wanawatumishi 3 tu, Captain, Assistant Captain na Cabin attendant 1 kwa ndege ya watu almost 60 ikifka mda wa kugawa drinks na Bites assistant captain anakuja kumsaidia attendant

Ila ukienda ATCL unakuwa wahudumu 6 hadi 8 wakati mwingine hapo hujaweka captain na asistant captai kwa ndege ya watu almost 120hadi siku 1 wakati nashuka nikamulza muhudumu 1 kwa nini mko wengi hivi? anatabasamu tum kwa sababu washafundishwa kututabasamia hana jibu.. anyway kwa sababu pia sio msemaji..

Ukienda ATCL hOuse cvity centre unakuta wakata ticket wako 3 na mhasibu wa nne na bado wako slow... Unajiuliza Tulihtaji watu 3 kukata ticket za watu wasiozidi 20 (kwa sababu ndege inabeba abiria evarage 124 na wengine wanakata kwa agents na maranyingi huwa haijai na abiria wengine wanakata mza na kilimanjaro na arusha) ukienda mza pia ATCL office mtaa wa kenyata utakuwa wakata ticket 3 pia sina uhakuka na idadi yao kwa arusha Kilimanjaro na Commoro.. hii inawezekanaje?

Je unadhani kwa tabia hizi wataweza kulipa madeni? Viongozi wa shirika hawako kibiashara kabisa
 
Omujubi!

Uko sahihi tatizo ni Serikali na haswa huyo Mwakyembe anaota ndoto ya kuwa na National Carrier . Yeye na Dhaifu is another bunch of nicompoops . Kenya hawana national carrier Kenye Airways inayorusha ndege karibu duniani kote ni a Private Company na serikali ya Kenya inazo hisa only 23% .

It's quite simple Serikali inunue hisa PA na kutumia hiyo opportunity. Huwezi kodisha ndege moja halafu ukategemea ikutoe. Tulikuwa na Air Tanzania ikauwawa na Watanzania na hakuna aliyepelekwa Mahakamani but the dream goes on and on.

Wakati Dhaifu anazindua Hanger ya PA alipewa hiyo offer na Shirima lakini akitokea Mwakyembe aka sema dhamira ya kufufua ATC iko pale pale. Nadhani Mwakyembe ni Mkristo na anajua from the bottom of his heartbeat that hakuna kitu kilichowahi kufa kikafufuka ila yasemekana Yesu Kristo alifufuka I can't dispute that kwani wengi wanaamini.

Kufufua ATC under CCM is an impossible mission kwani it's still the same level. Just like watu Fulani wanafikiria kufufua JKT?

Simple solution lets jump at the offer ya PA tununue hisa tusonge mbele! Hizi ngonjera za kuanzisha Chuo cha air hostess is another failed CCM conception.
Hisa za nini precision? aha mambo ya kuiga iga ww, serikali either waondoke kwny hii industry or wajiandae waanze upya, ni ujinga wa mwisho serikali kushindwa ku-run ndg zake wakati precision wanaweza,tunaelewa precision wanaweza kuwa wanaihujumu ATCL ili serikali inunue hisa..ni wabinafsi tu hawa, govt business entities zitasimama pale tu hawa wapumbavu walio nyuma ya makampuni haya binafsi, precision, vodacom, malori ya mizigo etc watakapoondoka ili hizo hujuma zikome! hadithi ni ile ile km ya TANESCO wanainyonga ili wao walete mitambo wafue umeme watuuzie..yale yale ya TRC wameitelekeza makusudi then wanaleta malori kusubstitute reli..lazima ccm watoke then utaona hata hao precision km wataoperate serikali ikianza upya na ATCL..
 
Serikali inatakiwa ijikite kwenye kuandaa sera na kuzimamia, iachane na huu mtindo wa kizamani wa ku-run business, tena kwa mtindo huu wa micro-manage kila kitu. Wanachotakiwa kufanya ni kuhakikisha serikali inatakiwa imiliki njia kuu za uchumi kama reli, viwanja vya ndege, etc lakini kwenye mashirika wanaweza kununua hisa.

Kwenye hii issue ya kufufua ATCL sijui Dr Mwakyembe ana mipango gani lakini kama anakusudia kufufua ATCL na ibakie kuwa chini ya serikali 100% basi aandae bajeti ya ubwabwa kwa ajili ya mazishi ya ATCL.

Kwa taarifa tu, founder wa EasyJet, Sir Stelio anapanga kuinigia kwenye soko la Aviation Africa na atakuwa na base kubwa East Africa lakini atakuwa anaruka nchi zenye ku-deal na minining, oil & gas i.e Ghana, Angola, Tanzania na Kenya. Kwa wale wanaomjua huyu bwana na jinsi alivyobadilisha soko huko Ulaya anaweza kujua ni kitu gani kinajuka. Bei zitashuka sana, na upo uwezekano return fair (kwa mfano) Dar-mwanza ikawa $40 tu.

Tayari maandalizi yalishaanza na jina la shirika litakuwa 'fastjet' Fastjet.com
na entry point aliyofanya ni kununua 540. Mwakyembe ajipange upya, big boys are about to enter the market.
 
Njama za kina chizi hizo, wamewabonyeza jamaa wadai chao ili ionekane shirika limeshindwa ku-operate baada ya wao kusimamishwa
 
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

haya sasa...

mashirika yote ya umma yauwawe liwe chaka la wajanja tu kieleweke
 
By Ngaliba Dume
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

escobar
umeniacha hoi siku naona alinitumia msg kaka mmoja kuniuliza hivi lazima nioe na mimi kaka??
Nikiangalia na hapo juu nasubiri mwongoozo wa kujibu kuptia kifungu cha jf no25 kipengele z/j

Wakuu,
habari hii inatisha maana kuna taarifa za kiintelejensia kuwa kampuni kubwa ya EASYJET ya Uingereza ina mpango wa kuhodhi anga za nchi za ki-Afrika ikiwemo Tanzania kwa kutoza nauli nafuu kupitia Fly540.com.

Tusome mikakati ya EASYJET ktk kujiingiza anga za Afrika kupitia Fly540.com:

The ownership of regional low-cost carrier Fly540
has changed hands, after Lonrho PLC, the parent company of the airline, transferred its aviation business to a partnership between a low cost European air operator and an investment firm.

EasyGroup would own five per cent of Rubicon.


Fly540 will now be rebranded to ‘FastJet' under a brand licensing agreement with Sir Stelios, who will become the chief operations officer of the new airline.


Fastjet will seek to grow by relying on Fly540's current hubs of Kenya, Ghana and Angola, a plan that could renew competition with regional giant Kenya Airways which plans to launch its own budget carrier by the end of the year.


Kenya Airways (KQ) through it's a low-cost subsidiary, Jambo Jet, will be seeking to make headway in the fast-growing domestic and regional flying markets, where smaller airlines mostly operating as a low-cost carrier have posed a serious challenge.

In a statement to the London Stock Exchange (LSE) where Africa-focused conglomerate Lonrho
is listed, the company said it would sell the subsidiary to Rubicon Diversified Investments Plc and EasyGroup in a reverse takeover deal worth $85.7million.

Rubicon joined forces with Easy Group, owned by easyjet founder Stelios Haji-Ioannou, to acquire Fly540--Lonrho's aviation business--in a significant step towards the formation of a pan-African low cost carrier.

The transaction is however subject to easyjet's shareholders approval in an annual general meeting scheduled for June 29, 2012.

Under the terms of the agreement, Lonrho will acquire 1.1 billion Rubicon's ordinary shares which added to the current 9,500,000 ordinary shares it already owns, gives it a 73 per cent stake in the LSE-listed Rubicon.

Sources :
Read more on these links below:

http://www.guardian.co.uk/business/2012/jun/13/sir-stelios-low-cost-african-airline-fastjet

http://www.africareview.com/Busines...eality/-/979184/1427250/-/ccm0ca/-/index.html


N.B
Hata Precision Air ya Tanzania ikae makini kwani kuna mkakati mkubwa wa vita vya kibiashara kimataifa baada ya Air Tanzania itakuwa PecisionAir, Coastal n.k. Wizara husika za serikali ya Tanzania zinatakiwa kuwa na mkakati endelevu wa pamoja na makampuni ya ndege ya ki-Tanzania kuweza kukabiliana na changamoto hii kubwa ya kupoteza kabisa makampuni ya ndege ya Ki-Tanzania ktk zama hizo za ukoloni mkongwe kupitia utandawazi (globalization).
 
Haya ni matatizo ya kuendesha uchumi kisiasa. Yaani bora liende ili uonekane umefanya kitu. Maamuzi magumu sana yanatakiwa katika kuendesha mashirika ya umma kwani inaonekana sasa hivi ni kuwa mashirika haya ni kama mali binafsi za viongozi na pale wanapoamka wanaamua nini kifanyike hata kama hawana 'know how'. Kwa kuanzia tu inatakiwa kuwapiga redundancy wafanyakazi wote wa ATCL halafu kuja na kitu kingine kabisa chenye jina na wafanya waombe upya kwa mkataba wa miezi mitatu mitatu subject to termination at any time if shirika likiingia loss.

Wanaoua shirika hili mbali na wanasiasa ni wafanyakazi wa ATCL kuanzia ngazi ya chini kabisa. Kila mtu anataka kunufaika kwa kadiri awezavyo. Kila nikisikia ATCL huwa napata hasira sana na wale wakata ticketi pale chini wanavyohujumu shirika kwa kuuza nafasi as if watu wanasafiri bure. Mteja anakuja kukata ticket badala ya kumpatia ticket watu wanaanza ngonjera ku-create demand ambayo haipo ili wasafiri waone wamfanyiwa favour kwa kutoa rushwa. Next time mtu hataangalia ATCL tena na kwa akili za wale pale chini wanaona sawa tu.
 
Hao aerovista hawajui kuwa madai yao HAYATEKELEZEKI
Aerovista Hata kama wanajuwa kuwa ATCL haiwezi kulipa hilo Deni sasa unataka wawaachie na hilo Deni? Mkuu Remote Serikali Yetu mbovu haina Uongozi Mzuri tutaweza kweli kuendelea kimaisha? Ni jambo la aibu sana kuwa Tanzania shirika letu la ndege la ATCL hatuna ndege zetu wenyewe ni ujinga wa mwisho tunakodisha ndege basi hata kulipa madeni tunashindwa? Ahh hii nchi yetu imeoza kabisa Mkuu.
 
EasyJet wameshakamilisha kila kitu....DAR TO MWANZA wanataka iwe 90,000!!lakini bila Catering,kama utataka vimiminika basi ununue ndani ya ndege!na pia watachaji bei za mizigo ikizidi uzito(?).......
 
Katika hali isiyotarajiwa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL) lenye ndege aina ya Boeing 735 lililokuwa linafanya safari kati ya Dar-Mwanza via K'njaro na Dar-Hahaya(Comoro) limesitisha safari zake hivi leo Asubuhi. Habari nilizozipata kwa jamaa yangu aliyekuwa asafili na ndege hiyo leo asubuhi ni kuwa abiria wote wa ATCL waliokata ticket kwenda Mwanza "wamefaulishwa" ktk ndege ya 540.Com aina ya CRJ.

Kwa habari ya chini ya kapeti ni kuwa ATCL imeshindwa kulipa malipo ya kukodi kwa kampuni ya AEROVISTA ilipoikodi Ndege hiyo,kampuni husika imeizuia ndege yake kuruka mpaka hapo itakapolipwa malimbikizo ya madeni yote na ATCL. Hii inatokea siku moja baada ya Wizara ya Uchukuzi kuwasilisha Bajeti yake ktk Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kumbe hili shirika bado lipo!!!
 
inafact hili ni uhalisia halisi
Kinachofanyika ni kwamba serikali walisitisha malipo kwa jamaa mwenye ndege kwa muda na kama mlivyomsikia mwenzenu mwakeyembe kwamba pesa za bima zimepelekwa kununulia ndege ndogo mbili ukweli ni pamoja na hela za mauzo za ATCL zinapelekwa huko

Ninachoona hapa ATCL wanachomis ni fake administration
Huwezi kuwa na ndege ya mtu na unajua ndio iko pekee yake ukaishia kulipa mabango ya mamilion barabarani kwa safari ambazo huna kwa hivi sasa...nani ajaona yale mabango yaliotapakaa kila sehemu kigoma kigoma na wah wale wamelipwa cash cash unaweza kujiuliza ni Nini kilichopo uongozini...sasa unakimbilia kulipa mamilion na kuacha kulipa pesa za ndege inayokufanya kesho uwepo
Narudi kule kule uongozi wa Tanzania wengi atuangali ya Kesho tunangangana na ya Leo na ndio maana hata wabadilishe uongozi mara mia kama awatawekewa mikakati yakinifu kila mtu atafanya shamba la bibi la kuvunia mpunga
Kuna vitu vingi tu ambavyo kwa hivi sasa inatakiwa Atc kama Atcl wawe makini ni malipo yasiyo na faida kwa muda huu....na si tu malipo hata ikiwezekana waachane na mambo yanayowagarimu na kuishia kuifilisi kampuni....sisemi kwa nia mbaya ni mawazo yangu sipendi kupepesa macho wa kumungunya mungunya mdomo mkono kazi yangu ....ila tunabaki kusema tunaitaji Good administration itakayopewa target within some months wawe wamefanya A-J na ikifika akuna kinachoendelea akuna haja ya kuendelea nao tunaweka wengine wenye uwezo kwa manufaa ya Taifa

sidhani kulikuwa na haja ya kwenda kutengeneza china ma tshirt mengi yasiyo na tija wakati kuna kampuni inashindwa hata kulipa deni la Ndege.sasa kama tuna hela za kwenda CHINA kuandaa matshirt na ma unifom ya bei gali kwa nini usipunguze kiasi cha mathsirt na uniform kinachobaki kipelekwe kwa wenye ndege ili uendelee kuwepo kesho????
Infact wamekubaliana ku operate rte ya moroni tu kwa minajili jamaa wana percent kubwa sana katika makubaliano so wanaona ni vyema wakafnya rte zenye kuwalipa.....

Ombi
Si wakati wa kuendeleea kulia juu ya Kampuni yetu il ni wakati wa kufanya maamuzi magumu ambayo yatasaidia Kampuni kueendelea kuwepo....ni Huzuni kubwa kuona Jengo kubwa kama lile pale makao makuu likiwa na floor kadhaa zimejaa mabui bui na uachafu badala ya kuzifanyia mikakati ili kiasi kadhaa ziweze kuongezea kwenye malipo mengineyo

Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki ATCL
 
easyjet wameshakamilisha kila kitu....dar to mwanza wanataka iwe 90,000!!lakini bila catering,kama utataka vimiminika basi ununue ndani ya ndege!na pia watachaji bei za mizigo ikizidi uzito(?).......
propaganda mpwa kaulize tcaa ???unacheza pawpaw whisky??
 
hii wizara ni ngumu kama ile ya madini na nishati kwani matatizo yake ni systemic na tunaweza kuyafananisha na generational curse hivyo hata aje waziri smart namna gani lazima itamshinda. Matatizo yake ni sugu na hivyo yanahitaji ku-clear mikataba na matatizo ya nyuma kabla ya kupambana na ya sasa. Mwakyembe anatibu symptoms badala ya kutafuta cause
unakunywa saint ana??pm m pls
 
Aerovista Hata kama wanajuwa kuwa ATCL haiwezi kulipa hilo Deni sasa unataka wawaachie na hilo Deni? Mkuu Remote Serikali Yetu mbovu haina Uongozi Mzuri tutaweza kweli kuendelea kimaisha? Ni jambo la aibu sana kuwa Tanzania shirika letu la ndege la ATCL hatuna ndege zetu wenyewe ni ujinga wa mwisho tunakodisha ndege basi hata kulipa madeni tunashindwa? Ahh hii nchi yetu imeoza kabisa Mkuu.
hapa paweza kuwa na wazo la msingi.
Serikali kupitia kwa wakubwa wake imekili zaidi ya mara moja kuwa haiwezi kuwalipa wafanyakazi wake 'substance' salaly, haiwezi kuwalipa madaktari,haiwezi kuwalipa walimu, haiwezi kununua vifaa mahospitalini, haiwezi, ...haiwezi ...haiwezi nk nk.
Sasa mimi najiuliza kwamba nchi yenye watu karibia 50,000,000 inakuwaje tumekubaliana na kundi ambalo lina watu wasiozidi hata 50,000 waliokili wenyewe kutoweza lakini bado 'tunawagang'aniza kuendelea na hayo majukumu!!!?????

 
Back
Top Bottom