17 Julai 2020
Dar es Salaam, Tanzania
Mkurugenzi wa ATCL amesema janga la covid-19 limeathiri safari za ndani kwa asilimia 75 upande wa mapato.
Pia kwa safari za nje ni mapato yameathirika kwa asilimia 100. Mfano anga la nchi ya India bado limefungwa na kwa upande wa China anga lipo wazi lakini kuna masharti magumu kwa abiria watokao Tanzania kiasi ya kushindwa kusafiri.
Yote hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Shirika la Ndege nchini ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi wakati wa mahojiano maalum na Esterbella Malisa wa kituo cha televisheni cha Azam TV cha mjini Dar es Salaam wakati akitaka kufahamu zaidi juu ya mikakati ATCL kufuatia mkwamo huo......
Source : Azam TV
Dar es Salaam, Tanzania
Mkurugenzi wa ATCL amesema janga la covid-19 limeathiri safari za ndani kwa asilimia 75 upande wa mapato.
Pia kwa safari za nje ni mapato yameathirika kwa asilimia 100. Mfano anga la nchi ya India bado limefungwa na kwa upande wa China anga lipo wazi lakini kuna masharti magumu kwa abiria watokao Tanzania kiasi ya kushindwa kusafiri.
Yote hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Shirika la Ndege nchini ATCL Mhandisi Ladislaus Matindi wakati wa mahojiano maalum na Esterbella Malisa wa kituo cha televisheni cha Azam TV cha mjini Dar es Salaam wakati akitaka kufahamu zaidi juu ya mikakati ATCL kufuatia mkwamo huo......
Source : Azam TV