ATCL ni Shirika letu, ndege zake ni ndege zetu, tuipende, tuikubali na kukitokea dharura ya kuchelewa, tusilalamike, tuivumilie tuu

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,602
Wanabodi, saa hizi inakwenda saa 7 usiku, tuko uwanja wa ndege wa Mwanza, tukisubiria ku board ndege yetu ya ATCL from Mwanza - Dar.

Ilikuwa turuke saa 3:00 tufike saa 4:15, lakini kukatokea dharura, tukaarifiwa mapema kuwa ndege itachelewa hadi saa 6:30 sasa tumeboard tunaruka saa 7:30 na kufika Dar saa 8:30, Sisi abiria wa Dala Dala kwa saa hizo sijui itakiwaje?.

Kuna abiria wananuna na wengine kulalamika, hali hii mpaka lini?.

Wito wangu kwa watu kama hawa, ni kuwasisitiza tuu kuwa wazalendo wakweli wa nchi hii.

ATCL ni Shirika Letu, Ndege Za ATCL ni Ndege Zetu, Tulipende Shirika Letu, Tuikubali na Kukitokea Dharura ya Kuchelewa, Tusilalamike, Tulivumilie Tuu, na kuendelea kulipenda na tupande ndege zetu.

Mungu Ibariki ATCL,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
From Gambosh, kurudi mujini.

Update.
Tumesafiri salama, Tumefika Salama.
Tumeingia Dar saa 9:00 usiku.
P
Rejea



 
Dharura hazikosekani katika mashirika ya ndege haswa kwa yale yaliyo changa kama ATCL.

Kama wasingetoa taarifa mapema, basi hapo wasingekuwa na hiyana kulalamika. Ila kwa kuwa wamepata taarifa mapema basi wavumilie tu.

Huenda hata kulikuwa na hitilafu, usingelazimisha kuondoka kama hakuna mbadala. Dharura zingine haziepukiki.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Wewe ni mzalendo wa kweli, unayeweza kupanda ATCL kwa kuchangia kati ya 250;000 - 350;000 safari moja.

Wanaongeza ndege, nauli zao wanaziacha zilezile, Fastjet alikuwa na chini ya ndege 5 nauli ya Kitanzania kabisa.
 
Hiyo ni kawaida Sana kwa ATCL, hiyo ndio raha ya Monopoly.
Tuliitimulia mbali Kasuku ili kupunguza ushindani, tulijua swala wa Kichagga angejifia kifo Cha ghafla lakini ndio anazidi imarika.
Soon tutashuhudia swala wa Kichagga akianza kufanyiwa figisu ili tufanye biashara smoothly
..,..if wishes were horses......,hii Monopoly baadhi wanaweza kudhani ni ATCL peke yake ndo anaweza kutoa huduma usafiri wa ndani. Wakasifu uwingi sio huduma

Swala wa Kichaga atapotea muda si mrefu na huyu Twiga tutaona kama ataweza kuishi porini peke yake maana kwa ukame, watizamaji wanyama watashangaa mbona raia wanaishia kwenda kwenye sherehe ya kupokea Twiga stars tu ila kiwanjani hawaonekani, hamasa ni kubwa bila kujua kiingilio ni tatizo.
 
Mara yangu ya mwisho kupanda ndege Dar Mwanza return kwa shilling 140,000/= ni kipindi cha Fastjet na Airbus lao.

Nauli za Atcl kwa wazalendo wengi ni mtihani, sijuhi wazalendo wenzetu mnapata wapi hizi pesa? Labda wenzetu ni mabwanyenye mliojivika koti LA uzalendo.

.,.....ha ahahahha, tena wewe ulikata kwa kuchelewa. Baadhi tumefaidi kwa 42,000 kwenda 42,000 kurudi (33,000 + kodi za serikali) wakisema saa mbili wanaondoka muda huo huo.

Tafsiri ya uzalendo imebagazwa sana
 
Wanabodi, saa hizi inakwenda saa 7 usiku, tuko uwanja wa ndege wa Mwanza, tukisubiria ku board ndege yetu ya ATC from Mza - Dar.

Ilikuwa turuke saa 3:00 tufike saa 4:15, lakini kukatokea dharura, tukaarifiwa mapema kuwa ndege itachelewa hadi saa 6:30 sasa tumeboard tunaruka saa 7:30 na kufika Dar saa 8:30,
Sisi abiria wa Dala Dala kwa saa hizo sijui itakiwaje?.

Kuna abiria wananuna na wengine kulalamika, hali hii mpaka lini?.

Wito wangu kwa watu kama hawa, ni kuwasisitiza tuu kuwa wazalendo wakweli wa nchi hii.

ATCL ni Shirika Letu, Ndege Za ATC ni Ndege Zetu, Tulipende Shirika Letu, Tuikubali na Kukitokea Dharura ya Kuchelewa, Tusilalamike, Tulivumilie Tuu, na kuendelea kulipenda na tupande ndege zetu.

Mungu Ibariki ATCL,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
From Gambosh, kurudi mujini.

Update.
Tumesafiri salama, Tumefika Salama.
Tumeingia Dar saa 9:00 usiku.
P
pASKLI,
THIS IS NOW TOO MUCH... UNAJUWA HUWEZI ITA TUKIO LINALOTOKEA KILA SIKU KUWA NI DHARULA..!!Kila route umeshalalamikiwa, au imeshawahi kua na kasoro... YA MTWARA NDO IMEFUTWA KABISA

Ya Entebe Mwandosya alishawahi andika, Ya Mwanza humu imeshawahi andikwa, ya Mtwara binafsi nimeshawahi faulishiwa kwenye precisionair. kuna Dar Mtwara ilishawafutwa, na siku ya pili walipofka uwanjani, wakahamishiwa Precision..!!! Leo Paskali unasema tuwe wazalendo ...!!!! Uzalendo wa kila siku kuvumilia makosa anaweza kurekebishwa...!!!!

BY THE WAY UZALENDO WA HIVI NI WA KUSAMBAZA UZEMBE
 
Wanabodi, saa hizi inakwenda saa 7 usiku, tuko uwanja wa ndege wa Mwanza, tukisubiria ku board ndege yetu ya ATC from Mza - Dar.

Ilikuwa turuke saa 3:00 tufike saa 4:15, lakini kukatokea dharura, tukaarifiwa mapema kuwa ndege itachelewa hadi saa 6:30 sasa tumeboard tunaruka saa 7:30 na kufika Dar saa 8:30,
Sisi abiria wa Dala Dala kwa saa hizo sijui itakiwaje?.

Kuna abiria wananuna na wengine kulalamika, hali hii mpaka lini?.

Wito wangu kwa watu kama hawa, ni kuwasisitiza tuu kuwa wazalendo wakweli wa nchi hii.

ATCL ni Shirika Letu, Ndege Za ATC ni Ndege Zetu, Tulipende Shirika Letu, Tuikubali na Kukitokea Dharura ya Kuchelewa, Tusilalamike, Tulivumilie Tuu, na kuendelea kulipenda na tupande ndege zetu.

Mungu Ibariki ATCL,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
From Gambosh, kurudi mujini.

Update.
Tumesafiri salama, Tumefika Salama.
Tumeingia Dar saa 9:00 usiku.
P
Paskali amekwea dreamliner,vipi umelipa nauli kiasi gani?dege lilijaa?
 
Mlitakiwa kusubiri wenzenu watoke fiesta kirumba
Wanabodi, saa hizi inakwenda saa 7 usiku, tuko uwanja wa ndege wa Mwanza, tukisubiria ku board ndege yetu ya ATC from Mza - Dar.

Ilikuwa turuke saa 3:00 tufike saa 4:15, lakini kukatokea dharura, tukaarifiwa mapema kuwa ndege itachelewa hadi saa 6:30 sasa tumeboard tunaruka saa 7:30 na kufika Dar saa 8:30,
Sisi abiria wa Dala Dala kwa saa hizo sijui itakiwaje?.

Kuna abiria wananuna na wengine kulalamika, hali hii mpaka lini?.

Wito wangu kwa watu kama hawa, ni kuwasisitiza tuu kuwa wazalendo wakweli wa nchi hii.

ATCL ni Shirika Letu, Ndege Za ATC ni Ndege Zetu, Tulipende Shirika Letu, Tuikubali na Kukitokea Dharura ya Kuchelewa, Tusilalamike, Tulivumilie Tuu, na kuendelea kulipenda na tupande ndege zetu.

Mungu Ibariki ATCL,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
From Gambosh, kurudi mujini.

Update.
Tumesafiri salama, Tumefika Salama.
Tumeingia Dar saa 9:00 usiku.
P
 
Wanabodi, saa hizi inakwenda saa 7 usiku, tuko uwanja wa ndege wa Mwanza, tukisubiria ku board ndege yetu ya ATC from Mza - Dar.

Ilikuwa turuke saa 3:00 tufike saa 4:15, lakini kukatokea dharura, tukaarifiwa mapema kuwa ndege itachelewa hadi saa 6:30 sasa tumeboard tunaruka saa 7:30 na kufika Dar saa 8:30,
Sisi abiria wa Dala Dala kwa saa hizo sijui itakiwaje?.

Kuna abiria wananuna na wengine kulalamika, hali hii mpaka lini?.

Wito wangu kwa watu kama hawa, ni kuwasisitiza tuu kuwa wazalendo wakweli wa nchi hii.

ATCL ni Shirika Letu, Ndege Za ATC ni Ndege Zetu, Tulipende Shirika Letu, Tuikubali na Kukitokea Dharura ya Kuchelewa, Tusilalamike, Tulivumilie Tuu, na kuendelea kulipenda na tupande ndege zetu.

Mungu Ibariki ATCL,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
From Gambosh, kurudi mujini.

Update.
Tumesafiri salama, Tumefika Salama.
Tumeingia Dar saa 9:00 usiku.
P
Gambosh ipo Mwanza?Kuna siku niliuliza sikupata jibu.Ila P hilo shirika ni Jana tu wamepewa Dreamliner na serikali yetu ya JMT.Labda itasaidia kupunguza kero kama hiyo mliyopata.Mambo ya monopoly ktk biashara na serikali kujiingiza kwenye biashara ndivyo huwa hivyo,halafu Kuna wanaoshangilia hiyo success with $14 million kibindoni.Chezea wewe!
 
Mwaka 1994 - mimi sijui ni awamu ya ngapi - tulibuku ndege ya ATCL wakati ule, kwenda Mtwara. Tukabodi, baada ya kama dakika saba tokea turuke tukaambiwa tukiwa angani, ndege inarudi Dar. Tukasubiri tukiiona inapigwa nyundo ikitengenezwa.

Baada ya kama saa moja au mbili tukaamriwa kupanda tena na ndege ikaruka. Baada ya kama dakika kumi hivi, tukatangaziwa tena tukiwa angani kwamba ndege inarudi Dar. Jiweke wewe kwenye nafasi hiyo. Tukashuka na kusubiri kwa muda. Tukadai chakula na kwa bahati tukapatiwa na ATCL. Matengenezo yakaendelea mpaka saa moja usiku tukatangaziwa kuahirisha safari hadi asubuhi ya siku inayofuata, tukapewa usafiri kurudi nyumbani ila hatukupewa usafiri wa kurudi uwanjani siku ya pili. Kwa bahati siku ilofuata tukasafiri salama hadi Mtwara.
 
Back
Top Bottom