ATCL mtandaoni ni aibu!!!

ATCL mtandaoni ni aibu!!!

Infopaedia

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,231
Reaction score
1,495
Haya mambo ya online booking kama hamuyawezi ni bora muachane nayo tu. Na mnashindwa vipi kitu kidogo kama hicho!!!. Sasa mtaweza kuendesha shirika la ndege kweli kama kusimamia 'blog' yenu inakuwa kazi!!!. Kwanza web yenyewe ni kama mwanafunzi wa 'lasaba B' ndo mmempa ajifunzie kutengeneza website. Anyway, japo dalili ya mvua ni mawingu...hiyo dalili tunaivumilia. Basi hiyo website yenyewe iwe inafanya kazi kama inavyotakiwa. Ndiyo, matatizo yapo, lakini si kuna nafasi ya kutoa taarifa hapohapo kwenye hiyo website!!!!! Nafasi ya kujaza mapicha yasiyo na maana ipo, tena picha zenye poor scaling. Ila nafasi ya kuwasiliana na wateja hakuna. Mko serious kweli nyie!!!!!?. Kuna haja gani ya kuweka picha ya hizo ndege.......kwani mnadhani hatuamini kama mnazo hizo ndege. Media coverage yake ilikuwa kubwa kuliko, kabla hata hazijafika nchini. Basi hata muangalie toka website za mashirika mengine ziko vipi mpate changamoto mbili tatu. Inaonekana hata kuchungulia hamchungulii kabisa. Inakera kwa kweli. Mtu unaenda online booking, unajaza kilakitu. Then haijulikani uelekee wapi, link ya ku-execute hiyo booking 'book a flight now' imekufa. Ni shida. Kwa dunia ya leo na biashara hii ya usafiri wa ndege, huwezi kujiweka pembeni na online booking.
atcl.png
 
Na siyo ATCL tu.

Sekta nyingi Tanzania huwezi kufanya chochote cha maana mtandaoni kwenye tovuti zao.

Si mabenki si mahoteli.

Kuna siku nilifanya booking/ reservation ya hoteli kwenye tovuti [ya hiyo hoteli] halafu nilipoenda hotelini penyewe eti wakawa hawajui kuwa nilifanya booking.

Hovyo kabisa yaani.
 
KLM.png


fastjet.png

KENYA AIRWAYS.png
EMIRATES.png
RWANDAIR.png

Waangalie hiyo mifano michache. Na wengine mnaweza kuongezea. Kama ni shida sana, basi wa-outsource hiyo issue ya kuendesha website.
 
Na siyo ATCL tu.

Sekta nyingi Tanzania huwezi kufanya chochote cha maana mtandaoni kwenye tovuti zao.


Si mabenki si mahoteli.

Kuna siku nilifanya booking/ reservation ya hoteli kwenye tovuti [ya hiyo hoteli] halafu nilipoenda hotelini penyewe eti wakawa hawajui kuwa nilifanya booking.

Hovyo kabisa yaani.


Brela ndio kabisaaaaa!
 
Na siyo ATCL tu.

Sekta nyingi Tanzania huwezi kufanya chochote cha maana mtandaoni kwenye tovuti zao.

Si mabenki si mahoteli.

Kuna siku nilifanya booking/ reservation ya hoteli kwenye tovuti [ya hiyo hoteli] halafu nilipoenda hotelini penyewe eti wakawa hawajui kuwa nilifanya booking.

Hovyo kabisa yaani.
Yaani sasa ndio nimeelewa pale JPM aliposema analeta wataalamu wa haya mambo toka Rwanda. Hawa wetu wamelala sana. Wao ndio walitakiwa wawe mstari wa mbele kupigia kelele haya mambo.
Hivi hawa wetu wana baraza lao kweli, kama madaktari, wahandisi, au accountants?
 
Hao hao mnapinga serikali kuajiri watu wenye GPA 3.8 and above tu! Jamani sekta binafsi waliona hayo mapema, huwezi kuta kilaza huko!
 
Jana jioni niliitikia mwito wa kuwa mzalendo ninunue tiketi ya Air Tanzania mtandaoni, nikahangaika kwa muda maana kuna "window" ilikuwa haikamiliki. Hatimaye nikafanikiwa kuanza booking. Nilipotafuta maelekezo ya kulipa kwa mpesa, nikakuta si makamilifu. Nikapiga namba za mawasiliano walizoweka hapo ili niulize kupata uhakika, namba za simu ya mkononi zikawa hazipatikani, na simu ya mezani (TTCL) ikawa haipokelewi. Hapohapo wadanai niwe nimethibitisha "booking" yangu ndani ya masaa saba ambayo yangekamilika alfajiri ya saa tisa leo. Ikabidi tu nikate Fastjet ili kuwa na uhakika wa muamala huo wa malipo, na ndo natarajia kuondoka nao leo jumamosi saa tano.

ATCL inabidi wawe serious sana mtandaoni.
 
Hivi wameweka watu wengine au ni wale wale waliokuwepo?

Namuunga mkono Professor Ndalichako kwa vita vyake ya kutimua vihiyo kwenye ajira serikalini na mashirika ya umma. There are too many people who pretend to work but can't really do so. Hazipandi.

Hiyo website ya ATCL kuwa hivyo ni kosa la kutosha kufukuza IT section yote, na hata GM. TUMEDHARAULIWA VYA KUTOSHA.
 
Jana jioni niliitikia mwito wa kuwa mzalendo ninunue tiketi ya Air Tanzania mtandaoni, nikahangaika kwa muda maana kuna "window" ilikuwa haikamiliki. Hatimaye nikafanikiwa kuanza booking. Nilipotafuta maelekezo ya kulipa kwa mpesa, nikakuta si makamilifu. Nikapiga namba za mawasiliano walizoweka hapo ili niulize kupata uhakika, namba za simu ya mkononi zikawa hazipatikani, na simu ya mezani (TTCL) ikawa haipokelewi. Hapohapo wadanai niwe nimethibitisha "booking" yangu ndani ya masaa saba ambayo yangekamilika alfajiri ya saa tisa leo. Ikabidi tu nikate Fastjet ili kuwa na uhakika wa muamala huo wa malipo, na ndo natarajia kuondoka nao leo jumamosi saa tano.

ATCL inabidi wawe serious sana mtandaoni.
unachosema namimi kimenipata hichohicho, nimetizama nauli ni 180,000/= nifanyeje booking? yakawa majanga mengine, zile simu sijui ni za nyumbani kwa Mataka! manake hazipokelewi.
 
Hivi wameweka watu wengine au ni wale wale waliokuwepo?

Namuunga mkono Professor Ndalichako kwa vita vyake ya kutimua vihiyo kwenye ajira serikalini na mashirika ya umma. There are too many people who pretend to work but can't really do so. Hazipandi.

Hiyo website ya ATCL kuwa hivyo ni kosa la kutosha kufukuza IT section yote, na hata GM. TUMEDHARAULIWA VYA KUTOSHA.
Kumbe makonda amesema ukweli katika wafanyakazi 200 wa serikali wa maana hawazidi wanne. Ipo haja ya kuwaondoa kazini watumishi walioko serikali na mashirika ya umma tuajiri upya.
 
Huwezi kuishi kwa kuiga maisha ya mwenzako ishi uwezavyo .
Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye anahitaji huduma zaidi ya kukata tiketi,mambo mengine ni urembo.

Kwani online booking siyo kukata ticket Mkuu?
Achana nae huyo jamaa. Inawezekana ni mdau wa ndani na ukweli unaosemwa umemkolea. Mpaka leo hajui biashara ni matangazo. Na matangazo ni urembo kwa %100.
 
Huwezi kuishi kwa kuiga maisha ya mwenzako ishi uwezavyo .
Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye anahitaji huduma zaidi ya kukata tiketi,mambo mengine ni urembo.
Mmmmh km ndo hivi we have a long way to go
Mungu weee!!!! tusaidie Watanzania sisi tuone vitu katika uhalisia wake.
 
Na siyo ATCL tu.

Sekta nyingi Tanzania huwezi kufanya chochote cha maana mtandaoni kwenye tovuti zao.

Si mabenki si mahoteli.

Kuna siku nilifanya booking/ reservation ya hoteli kwenye tovuti [ya hiyo hoteli] halafu nilipoenda hotelini penyewe eti wakawa hawajui kuwa nilifanya booking.

Hovyo kabisa yaani.

 
Back
Top Bottom