Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,029
- 1,645
Madea Family FuneralKinga bora kuliko tiba
Mwaka wa pili sasa hatupo nae.Magufuli alizuia fast jet wasipewe leseni kwa ubinafsi wake
Sasa, tajeni ruti zitakazokatwa basi watu tujipange mapemaa.
Ndio kesha ingia! Yaani kama kidudu mtu kila anapogusa lazima panukeRostam come on namna gani pale.
Bora wangetumia hayo matrillion ya kifasadi walizonunua hizo ndege kutatua tatizo sugu la maji. Watu wanapanda hizo ndege huku wananuka vikwapa kwasabau hawajaoga.Kulifufua hili shirika kulikuwa ni kwa kukurupuka. Ni bora wangewaachia sekta binafsi tu waliendeshe wao wapewe gawio.
Alikua mkaksi kumbe yeye mwenyewe miyeyushoMadea Family Funeral
changamoto za kiufundi kote duniani za injini aina ya PW1524G-3 zinazotumikmaa katika ndege za Airbus A220-300 kumekuwa na uchaleweshaji wa ndege za shirika
Hee Tena nnchi kubwa bila ndege zake siku wakiambiwa abira kuruka had mwanza milion itakuwa balaaKulifufua hili shirika kulikuwa ni kwa kukurupuka. Ni bora wangewaachia sekta binafsi tu waliendeshe wao wapewe gawio.
Watanzania hamna jema . Ujinga mwingi. Kwa hiyo unataka kusema nibora kupanda gari ya kuazima kuliko yako?Kulifufua hili shirika kulikuwa ni kwa kukurupuka. Ni bora wangewaachia sekta binafsi tu waliendeshe wao wapewe gawio.