Nilijiuliza sana, rubani Ila hana viwango, nafikiri wamepeleka mhasibu
Inawezekana kabisa rubani akawa hana viwango.
Je unadhani kila dereva anaweza kuendesha kila gari unaloliona barabarani? Ndio maana kuna leseni na madaraja tofauti. Lugha ndio imekuwa tatizo, wameshindwa kueleza ni kwa namna gani hana viwango.