swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,904
Air Tanzania iliuliwa kwa kuibiwa.
Ili kuifufuwa na kuwa yenye tija inabidi kila idara itazamwe na ifumwe upya.
Ni hayo hayo kwa mashirika yote ya umma.
Watanzania waliowengi hususan walioajiriwa ni wezi wa kutupwa.
Nnamshauri Magufuli awake sheria za China tu kuhusu wizi na ubadhirifu wa Mali za umma. Watu wawili watatu wakiuliwa wengine watatia akili. Bila hivyo hawa wezi watakuja na mbinu mapya kila siku.
Nampongeza Mbarawa na Magufuli kujitahidi kiaina yao lakini bado zinahitajika sheria kali kabisa.
awake ..
aweke.
swissme