Nimeseme wazi kuwa Mimi ni mtanzania na ninaipenda chi yangu ila kwa kinachofanyika kwenye shirika hill ni uswahili uliopitiliza.
Kwanza kabisa ni bei zao ziko juu mno wananchi wa kawaida hawawezi kuaford. pili wanahold booking ili bei zipande ndio wazielease. Unafanya booking lets say ya mbeya wiki nzima unaambiwa no seat unawapigia simu wanakujibu siku hizi tunajaza sana then unakosa option unaamua kutumia njia nyingine ya usafiri, asubui unaingia tena kuangalia unakuta wamerelease booking ticket ni 375,000 unaamua kujikaza hivyo hivyo unachukua ticket
kituko unaenda kwenye ndege unakuta seat empty zaidi ya 30 UPUUZI MTUPU