mpaka atcl wapate leseni naruhusa ya kwenda marekani hilo tatizo litakuwa limetatuliwa, kupata ruhusa ya kupeleka ndege yako marekani ni kazi ndefu, mashirika mengi mfano kenya airways hujiona wamefanikiwa sana pale wanapopata ruhusa ya kwenda marekani, ni juzi tu kenya airways ndio wamepata permit hiyo na inaonekana wameitafuta kwa muda mrefuToo many travelers, too few planes is U.S. airlines' 737 MAX summer dilemma
"nasrimgambo, SHARTI MOJA NA KUBWA UWE NA NDEGE WALIZOTENGENEZA WAO- NA SIE TUNA DREAMLINER YAO TUOMBER TWENDE KAMA INACHUKUA MUDA TUWAKODISHIEmpaka atcl wapate leseni naruhusa ya kwenda marekani hilo tatizo litakuwa limetatuliwa, kupata ruhusa ya kupeleka ndege yako marekani ni kazi ndefu, mashirika mengi mfano kenya airways hujiona wamefanikiwa sana pale wanapopata ruhusa ya kwenda marekani, ni juzi tu kenya airways ndio wamepata permit hiyo na inaonekana wameitafuta kwa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app