ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Ha ha haana...
Ambulance to mumbai
 
Ni swala zuri sana ila je abiria wapo kiasi gani? Isije kuwa kama KQ walienda wakaamua kupunguza safari maana ndege ilikua yarudi robo.
Afu ni ngumu MTU kuacha Emirates, Qatar na Etihad kupanda ATCL/KQ
Nadhani hii route ni nzuri sana kwa kuanzia. Kla nikipanda ndege kutoka Doha, Addis Ababa etc inakuwa imejaza wachina na wahindi. Wakipata route ya direct to Dar wataitumia
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…