BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #21 Doyi said: Macho yote huona taswira katika mpinduko ila ile image ikiakisiwa kwenye retina na ikachukuliwa na mishpa ya faham taswira huonekana ipo sawa.Upoo? Click to expand... safiii....!
Doyi said: Macho yote huona taswira katika mpinduko ila ile image ikiakisiwa kwenye retina na ikachukuliwa na mishpa ya faham taswira huonekana ipo sawa.Upoo? Click to expand... safiii....!
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #22 Kongosho said: huwezi kumeza, kama umebinuka kichwa chini miguu juu Click to expand... baelezee...baache kubinuka!
Kongosho said: huwezi kumeza, kama umebinuka kichwa chini miguu juu Click to expand... baelezee...baache kubinuka!
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #23 Amyner said: Really? Click to expand... true that shem...hebu weka ugoro puani then sneeze!...nipe matokeo...
Amyner said: Really? Click to expand... true that shem...hebu weka ugoro puani then sneeze!...nipe matokeo...
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #24 BADILI TABIA said: njozi njema, nikipata chafya nitachunguza Click to expand... TB tupia ugoro hapo puani fasta unipe majibu.
BADILI TABIA said: njozi njema, nikipata chafya nitachunguza Click to expand... TB tupia ugoro hapo puani fasta unipe majibu.
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #25 Judgement said: Mr BAGAH ! Not for sneezin' only ! Also for ejaculation! Samesame Click to expand... hii movie ya kikubwa...PG! za masiku bro.
Judgement said: Mr BAGAH ! Not for sneezin' only ! Also for ejaculation! Samesame Click to expand... hii movie ya kikubwa...PG! za masiku bro.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Apr 11, 2012 #26 Kongosho said: huwezi kumeza, kama umebinuka kichwa chini miguu juu Click to expand... inawezekana try it uone..
Kongosho said: huwezi kumeza, kama umebinuka kichwa chini miguu juu Click to expand... inawezekana try it uone..
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Apr 11, 2012 #27 Huwezi kujinyanyua kwa kamba za viatu vyako.
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Apr 11, 2012 Thread starter #28 Bishanga said: Huwezi kujinyanyua kwa kamba za viatu vyako. Click to expand... babukubwa.!
Lucas JF-Expert Member Dec 3, 2011 2,457 1,108 Apr 11, 2012 #29 hewa inapokuwa haitoshi ndani waweza fungua madirisha yoote ili upate hewa lakini windows za kompyuta hazitakusaidia hata kama hakuna hewa!
hewa inapokuwa haitoshi ndani waweza fungua madirisha yoote ili upate hewa lakini windows za kompyuta hazitakusaidia hata kama hakuna hewa!
Unga wa Kitarasa JF-Expert Member Apr 3, 2012 398 99 Apr 12, 2012 #30 Doyi said: Ukibinyabinya sehemu ya kiganja chni ya kidole gumba unapunguza gesi tumbon kama umekutwa na hali ya tumbo kujaa gesi Click to expand... mmmmmh real emb ni pm unielekeze vizur
Doyi said: Ukibinyabinya sehemu ya kiganja chni ya kidole gumba unapunguza gesi tumbon kama umekutwa na hali ya tumbo kujaa gesi Click to expand... mmmmmh real emb ni pm unielekeze vizur