hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Imekuwa kama mtindo sasa,..hakunakujali muda kama ilivyokuwa zamani,..Kuanza kwa safari juzi tu hapa lakini delays ni zile zile za Precision Air..worse hawatoi hata taarifa kwa abiria...Badilikeni kungali mapemaaaa.
Hii katika ndege ya tarehe 25. 10.2012 kuelekea Dar -Mwanza ya jioni..lakini hata last week j4ilikuwa vivyo hivyo!
Hii katika ndege ya tarehe 25. 10.2012 kuelekea Dar -Mwanza ya jioni..lakini hata last week j4ilikuwa vivyo hivyo!