Wewe kwa mawazo yako ungependekeza nauli iwe shilling ngapi kwa ihii root....Kiukweli hii route inalipa sana maana nchini na majirani zetu wengi (Congo DR, Rwanda, Burundi na Comoro) ndo destination yao kubwa. Tafadhali fikirieni pia kwenda Dubrovnik, Croatia.
Bei yoyote ya kizalendo. Maendeleo hayana chamaWewe kwa mawazo yako ungependekeza nauli iwe shilling ngapi kwa ihii root....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wao walitawaliwa na wafaransa ni sawa na msumbiji na ureno, sisi haitalipa ila sema uingereza.Kiukweli hii route inalipa sana maana nchini na majirani zetu wengi (Congo DR, Rwanda, Burundi na Comoro) ndo destination yao kubwa. Tafadhali fikirieni pia kwenda Dubrovnik, Croatia.
Asante kwa kuchukua ushauri. Nina hakika tunakwenda kushangaza duniaNikiwa kama Mfanyakazi wa ATCL niseme tu kwamba bahati kwenye mpango kazi wetu ruti hii ya Paris ipo.Pia tunachukukua mapendekezo ya kwenda Dubrovnik, Croatia. MWaka 2020 tutaanzisha safari za Kwenda Baghdad , Kabul,Hargeisa,Caracas pamoja na Havanna Cuba.Tutakuwa tunapanuka kadri hali itakaporuhusu.
Asante kwa kuchukua ushauri. Nina hakika tunakwenda kushangaza dunia.Nikiwa kama Mfanyakazi wa ATCL niseme tu kwamba bahati kwenye mpango kazi wetu ruti hii ya Paris ipo.Pia tunachukukua mapendekezo ya kwenda Dubrovnik, Croatia. MWaka 2020 tutaanzisha safari za Kwenda Baghdad , Kabul,Hargeisa,Caracas pamoja na Havanna Cuba.Tutakuwa tunapanuka kadri hali itakaporuhusu.
!Asante kwa kuchukua ushauri. Nina hakika tunakwenda kushangaza dunia.
Hamna ubavu wa kushindana na hayo mashirika na ndege zenu reject.Wazo zuri ila tuanzie na routes za hapa hapa SADCC,na tuhakikishe tuna vibali vyote na tulipe madeni yetu yote ili tukianza tusikumbane na vikwazo,elewa Rwanda air,Ethiopian Airways,na Kenya Airways watakuwa washindani wetu wakubwa hasa kipindi hiki ambacho SAA WAPO ICU.
Ushauri mzuri ila Hargeisa ni Somalia kwa Alshabab hapana ndege yetu isije pata shidaNikiwa kama Mfanyakazi wa ATCL niseme tu kwamba bahati kwenye mpango kazi wetu ruti hii ya Paris ipo.Pia tunachukukua mapendekezo ya kwenda Dubrovnik, Croatia. MWaka 2020 tutaanzisha safari za Kwenda Baghdad , Kabul,Hargeisa,Caracas pamoja na Havanna Cuba.Tutakuwa tunapanuka kadri hali itakaporuhusu.
Mpango kazi wenu mhuuu!! Em kaeni tenaNikiwa kama Mfanyakazi wa ATCL niseme tu kwamba bahati kwenye mpango kazi wetu ruti hii ya Paris ipo.Pia tunachukukua mapendekezo ya kwenda Dubrovnik, Croatia. MWaka 2020 tutaanzisha safari za Kwenda Baghdad , Kabul,Hargeisa,Caracas pamoja na Havanna Cuba.Tutakuwa tunapanuka kadri hali itakaporuhusu.
unaizungumzia ATCL au ATC?Kiukweli hii route inalipa sana maana nchini na majirani zetu wengi (Congo DR, Rwanda, Burundi na Comoro) ndo destination yao kubwa. Tafadhali fikirieni pia kwenda Dubrovnik, Croatia.
Tunajivunia vya kwetu. Ki-kwetu kwetu.Ushauri mzuri ila Hargeisa ni Somalia kwa Alshabab hapana ndege yetu isije pata shida
Sent using Jamii Forums mobile app