Atayekuja atakuwa mkali mara 100 zaidi ya Hayati Magufuli

Umeme chief Hangaya anaenda maliza, ujasikia miradi iliyoachwa ya Green City inarudi mmoja Pemba, Kigoma mkoa aliosahau ata mimi naweza mkumbusha ni Singida.

Green City hiyo ni lugha yake by now inabidi tuelewa maza ni mtu wa kuchapia anacho maanisha hapo kwenye Green City ni renewable energy farms ambazo Pemba/Singida kulikuwa na mpango wind farms na Kigoma Solar farm.

Hayo mambo Magufuli aliyakataa na kwenda na Stiglers mradi aujaisha tunakimbilia madeni mengine yasiyo ya lazima (Ndugai akukosea kusema mtakuja kuuzwa).

Why Europeans would want to invest in green energy in Africa sio kwa sababu wanajali sana mazingira yako rather it’s their carbon trade emission policies. Kwao makampuni yana quotas za CO2 unazoweza toa kutoka kwenye viwanda ili uweze kuchafua zaidi kuliko unavyoruhusiwa kawekeze third word in green energy then output saved in CO2 emission huko ulipowekeza unaweza tumia kuchafua zaidi kwao.

Sasa kuna kampuni kama refineries hizi ndio option zao upgrade ya carbon capture technology huko kwao zinagharimu billions of euros and that is sunk cost, wakati uwekezaji wa green energy nchi kama Tanzania wa euro millioni 500 mpaka 700 inakuruhusu kuongeza CO2 huko kwao na bado hela yako inarudi na faida juu maana umeme unawauzia TANESCO.

Hizo ndio investment mama anajisifia kuvuna huko wakati Nyerere plant ikiisha mambo ya umeme sio shida zetu.

Kazi ipo “if you think education is expensive, try ignorance”.


That is what ☝️is all about sikia tu huo mziki ndio uliouwa viwanda vya vyuma huko kwao, kufungwa kwa refineries ndogo na viwanda vingi ambavyo ni heavy polluters. Njia iliyobaki ni kuja kuwekeza nchi maskini ili waendelee chafua kwao; hiyo miradi nyuma yake kuna kampuni zenye pressure huko kwao za mazingira don’t be fooled mwekezaji akijiita green blah blah technology funds ni za watu wengine.


Mkuu chukua form 2025
 
Ndiyo maana ni muhimu sana kuendelea kuishi na kufanya shughuli zetu kwa kufuata sheria na kanuni pamoja na miongozo bila shuruti hata wakati wa amani na Uhuru.

La sivyo atakuja jamaa ataanzia miaka ya nyuma kufukua malalo ndipo watu wakapolia na kusaga meno!
 
Lipeni kodi stahiki bila shuruti.

Ili akija jamaa wa kariba ile msije mkaishia jera au kupoteza maisha kwa presha na visukari.

Maana kwa Katiba iliyopo atasema tu anafukua malalo kuanzia miaka hata zaidi ya 10 back

Nakwambia kimbembe

Kwa mtini jifunzeni.
 
Anko Magu ametuachia Somo kubwa sana pamoja na vizazi vyetu.

Kwa werevu wamejifunza mengi sana.

Ishi kwa kufanya yenye kufaa hata kama hakuna anayekuona au kukufuatilia.

Actually huo ndio tunaita uadilifu.


Tufani ikija hautakuwa na hofu wala mashaka.
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa

Magufuli hakuwa mkali bali mwenye jazba. Usichanganye ukali na jazba.
 
Kumbe bado washamba wapo.

Mtaishi lini huko gizani kama tuko karne ya 6?

Dunia ilikwishahama kwenye kutumia nguvu kwenye kila kitu .

Tengenezeni taasisi imara na sio kumtegemea au kumsubiri mtu ndio aje afanye.
 
Hapa ndio pa kujiuliza kwa nini tuendelee kuichagua CCM?

Ishu sio wao kwa wao kutoridhishwa na utendaji wao Ila sera ni zao wanatuchezea tu ili waendelee kuiba.

Wajibu ni wako mwananchi, je utaendelea kuchagua haohao wanaotuchezea kila chaguzi au ?
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Mleta hoja Kiongozi hatusaidii chochote kwa likatiba la ovyo hili tulilonalo. Hata awe mkali kama pilipili au mpole kama ua kwa likatiba hili la ovyo na lililopitwa na wakati usitegemee muujiza wowote wa Kimaendeleo
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Hapo ungesema tu waislamu ndiyo wanao rudisha nyumq hii nchi kwa kutokuwa wazarendo maraisi wakristo wote wanakuwa shupavu awacheki na wazungu wala wa arabu
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Ule sio ukali ni ukatili...watu wa kaliba ile hawatokei kirahisi inaweza chukua miaka 100 au zaidi kupata watu wenye tabia zile
 
Back
Top Bottom