Atayekuja atakuwa mkali mara 100 zaidi ya Hayati Magufuli

Ni ukweli, nadhani Mama sijui kwanini anashindwa kuwatumia washauri wa uchumi, mikopo inadumaza
Ziada ya tozo katika miamala (kodi za kizalendo) zilileta mjadala mkubwa, wafanya biashara wengi walifunga biashara zao kipindi cha nyuma, mapato ya ndani hayaendani na miradi mikubwa ya kimkakati tuliyoianzisha. Ili tuweze kutekeleza miradi yetu ya kimkakati bila kuwabana raia na wafanya biashara ni bora tutafute pesa nje zenye masharti nafuu kuliko kuitelekeza hiyo miradi au kuminyana sisi kwa sisi.
Tatizo letu Bongo hao wataalamu wa uchumi wakiingia kwenye siasa husahau taaluma zao nao huwa waimbaji wa mapambio.
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Ngoja mpango aingie hapo apaishe uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Magu hakuwa mkali, bali alikuwa mpayukaji asiye na staha. Msema hovyo
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Akija mwenye mapigo ya Magu, nae atazimwa kama taa..
 
Umeme chief Hangaya anaenda maliza, ujasikia miradi iliyoachwa ya Green City inarudi mmoja Pemba, Kigoma mkoa aliosahau ata mimi naweza mkumbusha ni Singida.

Green City hiyo ni lugha yake by now inabidi tuelewa maza ni mtu wa kuchapia anacho maanisha hapo kwenye Green City ni renewable energy farms ambazo Pemba/Singida kulikuwa na mpango wind farms na Kigoma Solar farm.

Hayo mambo Magufuli aliyakataa na kwenda na Stiglers mradi aujaisha tunakimbilia madeni mengine yasiyo ya lazima (Ndugai akukosea kusema mtakuja kuuzwa).

Why Europeans would want to invest in green energy in Africa sio kwa sababu wanajali sana mazingira yako rather it’s their carbon trade emission policies. Kwao makampuni yana quotas za CO2 unazoweza toa kutoka kwenye viwanda ili uweze kuchafua zaidi kuliko unavyoruhusiwa kawekeze third word in green energy then output saved in CO2 emission huko ulipowekeza unaweza tumia kuchafua zaidi kwao.

Sasa kuna kampuni kama refineries hizi ndio option zao upgrade ya carbon capture technology huko kwao zinagharimu billions of euros and that is sunk cost, wakati uwekezaji wa green energy nchi kama Tanzania wa euro millioni 500 mpaka 700 inakuruhusu kuongeza CO2 huko kwao na bado hela yako inarudi na faida juu maana umeme unawauzia TANESCO.

Hizo ndio investment mama anajisifia kuvuna huko wakati Nyerere plant ikiisha mambo ya umeme sio shida zetu.

Kazi ipo “if you think education is expensive, try ignorance”.


That is what ☝️is all about sikia tu huo mziki ndio uliouwa viwanda vya vyuma huko kwao, kufungwa kwa refineries ndogo na viwanda vingi ambavyo ni heavy polluters. Njia iliyobaki ni kuja kuwekeza nchi maskini ili waendelee chafua kwao; hiyo miradi nyuma yake kuna kampuni zenye pressure huko kwao za mazingira don’t be fooled mwekezaji akijiita green blah blah technology funds ni za watu wengine.
Mkuu JHNPP imeanza kupeleka maji kwenye turbines, punguza malalamiko japo kidogo.
 
😄 eti kukopa unapunguza maumivu kwa wananchi…hawatalipa hio mikopo yenu ya kuotesha miti…

Emancipate yourselves from mental slavery…

Unakopa… kesho yako unaijua au ndio zile theory zenu za uchumi…if everything remain constant….
Nyinyi ndio wale enzi za JPM mlikuwa mnalia 'vyuma vimekaza' huwa hamna jema hata siku moja.
 
Akija mwenye mapigo ya Magu, nae atazimwa kama taa..
Hao wazimaji mbona ni mafaller? Hahahahah eti wanamzima term ya 2 unaita wamemzima? Akuna wazimaji wa hivo, watu wangeamua basi ni ile ile term ya kwanza hata kati kati au asifike ata kati kati. Alikuwa mgonjwa na hakuuawa.
 
Hao wazimaji mbona ni mafaller? Hahahahah eti wanamzima term ya 2 unaita wamemzima? Akuna wazimaji wa hivo, watu wangeamua basi ni ile ile term ya kwanza hata kati kati au asifike ata kati kati. Alikuwa mgonjwa na hakuuawa.
Ndio ukweli mchungu huo..umeze uende ukalilie Chato
 
Nyinyi ndio wale enzi za JPM mlikuwa mnalia 'vyuma vimekaza' huwa hamna jema hata siku moja.

Waliokuwa wanalia vyuma vimekaza wanamkejeli kweli kweli JPM, sasa hv wana raha zote …sisi yatima tulishazoea shida uzuri mzee wetu alituambia tujipange kisaikolojia akiondoka tutapata tabu sana….

Ametukomaza na tumekomaa kweli kweli
 
Huu uzi nauandika kwa kuangalia trend ya viongozi wetu.

Kila tunapopata kiongozi mkali anayebana mambo mbalimbali anayekuja anaaachia, ni kama vile wanapokezana liberals na republicans japokuwa wote wanatoka chama kimoja kwa muktadha wa nchi yetu.

Kwa kuangalia trend ya uongozi wa sasa naona kabisa watu wamemiss mtu mkali, watu hukohuko ccm wamechoka umeme unakatika hovyo na majibu wanapewa ya kisiasa na inaonekana normal tu.

Wanaenda kufanya mapokezi makubwa na wanashona na sare kabisa kisa tumepokea mkopo, fedha ambazo wangewekeza kwenye mambo mengineyo ya maendeleo.

Kwa ushauri wangu mtu unayetaka kuwekeza na kupata mahela kwenye biashara mbalimbali huu ndio muda, kiongozi atakayekuja atakuwa JPM Pro Max na tutarudi hapa kusema kwanini hatukuwekeza wakati huu .

Usiseme hukuambiwa
Mama amewalegezea fisadi. Wahuni wanatabasamu wakipanga upigaji hela ya umma.
 
Back
Top Bottom