La muhimu kuzingatia ni method. Trick ipo kutumia eular formula na solution of a quadratic equation. Anybody solving equation will use the same method. Copy and paste was merely to save me trouble of typing the solution.
La muhimu kuzingatia ni method. Trick ipo kutumia eular formula na solution of a quadratic equation. Anybody solving equation will use the same method. Copy and paste was merely to save me trouble of typing the solution.
Zote hizo nazitumia kwenye field yangu ambayo inanipatia kipato, mfano, complex number natumia kwenye ku design analyze AC current katika machines na systems mbali mbali...una swali lingine?
NB: umesoma hesabu mpaka level gani??? Maana kuna level mtu akiuliza swal kama lako haishangazi!!!