Hayo yamesemwa na barozi wa China nchini Tanzania wakati wa kuziaga meli mbili za kijeshi za jeshi la watu wa China zilizokuwa zimetia nanga bandari ya Dar es salaam. Source:ITV habari ya saa mbili usiku.My take:Aliambiwa baadhi ya 'watani zetu wana chokochoko nini!?
!
!