Atakaeguswa Msaada Tafadhali

Atakaeguswa Msaada Tafadhali

RC.

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
444
Reaction score
42
Ndugu Wanajamvi, Poleni Na Majukumu Ya Kila Siku, Nakuja Jukwaani Kuomba Msaada Wa Kupata Kazi! Nitaandika Kwa Ufupi Kuokoa Muda, Mwaka 2008 Nilichaguliwa Kusomea Ualimu Chuo Kukuu Cha Dodoma, Sikumaliza Kulitokea Mgomo Tukafukuzwa, Hatukurudishwa Chuo Toka Tufukuzwe Mpaka Sasa,

Baada Ya Kusubiri Kwa Muda Wote, Nikaamua Kuomba Chuo Kingine Nikapata Nikasomea Bachelor Of Arts In Community Economic Development Nimemaliza 2013, Nyumbani Kwetu Ni Mimi Ninaetegemewa, Nyumbani Ni Masikini Sana! Mama Yangu Ni Mjane Masikini, Sina Ndugu Aliesoma Kunishika Mkono Nipate Angalau Kibarua Nimsaide Mzazi Huko Kijijini,

Nimejaribu Kuweka Mambo Sawa Angalau Nijikwamue Kiuchumi, Lakini Mambo Yananiendea Mrama! Nilinunua Boda2, Piki2 Ikaibiwa Nikarudi Kabisa Kwenye Hali Ya Umasikini Mkubwa, Nipo Tu Nyumbani Sina Pa Kuanzia, Kilimo Mvua Hainyeshi, Elimu Ninayo, Nimefaulu Kwa GPA 3.1, Yaani Hali Yangu Sio Nzuri! Naomba Ndugu Zangu Mnisaidie Ninadhalilika Mtaani!
 
Wewe kweli washangaza. Yaani una degree halafu unakuwa matonya!!! Nimeamini kuwa omba omba ni ROHO.
 
Wewe kweli washangaza. Yaani una degree halafu unakuwa matonya!!! Nimeamini kuwa omba omba ni ROHO.

Sio kila post lazima ucoment,jaribu kuwa na roho ya kibinadamu wewe maelezo yote aliyoyatoa wewe ukaona msaada mzuri ni hayo maneno yako kumbe hata jf ina wendawazimu sidhani kama mtu mwenye busara zake akatoka kauli zinazonuka uvundo kama wewe.
 
Mkuu mi nakushauri fanya applications kwa kutembelezea blogs kama zoom,kazibongo na tayoa utapata tu kazi wala usikate tamaa. Mi kuna dogo namjua amesoma community devl alitaabika lakini amepata kazi kwenye NGO ya wazungu kule mkuranga as Assistant Village Manager na analipwa 1.4mil. Keep up the fight hupaswi kukata tamaa.
 
Pole sana ndugu,mungu ni mwema na ni mungu wa yatima,masikini na matajiri nina imani ipo siku atakufanyia wepesi utafanikiwa usikatishwe tamaa hayo ni mapito tu tunayapitia ili mungu akuinue
 
Mkuu usikate tamaa na wala usijidharau,pia usijionee aibu kwa hali ya sasa tune akili yako jua hiyo ni kwa mda tu fanya application nyingi kwa kadri uwezavyo either online au through post usichague kazi pia waweza kuanzisha Tuition mtaani kwako kwa wale secondary au pre form one kwa wale waliomaliza STD Seven mwezi mmoja si haba pia waweza kutafuta shule ya karibu ukaongea na mkuu wa shule ukaanzisha masomo ya ziada hasa kwa wanaoingia Form two na Form Four in short run unaweza kusolve baadhi ya mambo
 
Mungu wa Ibrahimu,isaka, yakobo na ulimwengu wote ni mwaminifu sana, pia yeye ni tajiri sana, atakupatia ajira. OMBA HADI ITOKEE.
 
Ndugu Wanajamvi, Poleni Na Majukumu Ya Kila Siku, Nakuja Jukwaani Kuomba Msaada Wa Kupata Kazi! Nitaandika Kwa Ufupi Kuokoa Muda, Mwaka 2008 Nilichaguliwa Kusomea Ualimu Chuo Kukuu Cha Dodoma, Sikumaliza Kulitokea Mgomo Tukafukuzwa, Hatukurudishwa Chuo Toka Tufukuzwe Mpaka Sasa, Baada Ya Kusubiri Kwa Muda Wote, Nikaamua Kuomba Chuo Kingine Nikapata Nikasomea Bachelor Of Arts In Community Economic Development Nimemaliza 2013, Nyumbani Kwetu Ni Mimi Ninaetegemewa, Nyumbani Ni Masikini Sana! Mama Yangu Ni Mjane Masikini, Sina Ndugu Aliesoma Kunishika Mkono Nipate Angalau Kibarua Nimsaide Mzazi Huko Kijijini, Nimejaribu Kuweka Mambo Sawa Angalau Nijikwamue Kiuchumi, Lakini Mambo Yananiendea Mrama! Nilinunua Boda2, Piki2 Ikaibiwa Nikarudi Kabisa Kwenye Hali Ya Umasikini Mkubwa, Nipo Tu Nyumbani Sina Pa Kuanzia, Kilimo Mvua Hainyeshi, Elimu Ninayo, Nimefaulu Kwa GPA 3.1, Yaani Hali Yangu Sio Nzuri! Naomba Ndugu Zangu Mnisaidie Ninadhalilika Mtaani!

pole kiongoz piga moyo konde mmi nilmalza chuo mwaka 2011 na nilkuwa ktk mazingira magumu lakn Mungu ndiye mweza wa yote nimepata mwaka huu tafuta biashara ndogöndogo huku una apply Mungu awe nawe
 
usikate tamaa, tuma maombi mengi uwezavyo, mkumbushe Mungu kila wakati hitaji lako Mungu ni mwaminifu sana na hutoa pia kwa wakati wake. Hujachelewa kupata. Jipe moyo rafiki
 
Sio kila post lazima ucoment,jaribu kuwa na roho ya kibinadamu wewe maelezo yote aliyoyatoa wewe ukaona msaada mzuri ni hayo maneno yako kumbe hata jf ina wendawazimu sidhani kama mtu mwenye busara zake akatoka kauli zinazonuka uvundo kama wewe.
Acha ujinga wewe. Kwani Hata wewe lazima u reply comment yangu? Mungu ampe nini rafiki yako? Analia amekosa pesa wakati wenzake hawana hata elimu, amefika chuo kikuu. Yeye ana uwezo hata wa kununua bodaboda na bajaj. Acheni kukufuru na kuwa na roho ya ombaomba...
 
Unajua kuna kitu watu hawaelewi hapa, hatuwezi wote kuwa wajasiriamali kwahiyo usifikiri kujiajiri peke yake ndio option nzuri katika maisha. Jamaa amesema alishajaribu kuwa mjasiriamali bt it didn't workout sasa kwanini asifikirie option ya kuajiriwa? there is no single best way for every individual, it may have worked for you n it doesn't guarantee to work for me, kwahiyo usifikiri kwakuwa wewe ni mjasiriamali basi lazima wote tuwe hivyo, huko ni kukosa fikra sahihi, kujiajiri kupo tu coz unaweza kuanza kama muajiriwa then ukajiajiri.
 
Mkuu kwanza Pole sana, i feel very sory for u! Mungu lazima atafanya kitu juu yako kwa kadri ya imani yako!
Lakin pili, kwa ushauri, usipende kujiita "masikini sana" maana sio vizuri, hapo utakuwa kama una lalamika, kuna wengine hata pa kulala hawana, lkn ww afadhali una asset ya elimu, maana siku yoyote mambo yatakunyookea!
Mungu akubariki!
 
Mungu anakuandaa ili akupe kazi kubwa ya kuudumia watu wake, lazima akupe training/coaching ya kutosha ili atakapokukabidhi hiyo kazi uifanye kwa uaminifu
 
Acha ujinga wewe. Kwani Hata wewe lazima u reply comment yangu? Mungu ampe nini rafiki yako? Analia amekosa pesa wakati wenzake hawana hata elimu, amefika chuo kikuu. Yeye ana uwezo hata wa kununua bodaboda na bajaj. Acheni kukufuru na kuwa na roho ya ombaomba...

hongera zako ambaye sio ombaomba na elimu yako kukufanya uwe na majibu hivyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom