Ataka Lowassa aombewe aone Dk. Magufuli akiapishwa rasmi

Ataka Lowassa aombewe aone Dk. Magufuli akiapishwa rasmi

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC00921.jpg
 
Hivi list of shame inamhusisha magufuli o lowassa maana nimeskia tena leo ni mwembeyanga kulekule kwa Dr slaa
 
Magufuli kamwe hawezi kuwa rais.Hapendwi hata na mkewe,amegoma kumuombea kura

Hongera wewe unayependwa na mafisadi mwambie Lowasa na ufisadi wake pamoja na wewe na ufisadi wenu mahakama ya mafisadi inakuja itawahusu.
 
Hivi sisi wanadamu tuna nini? Unamwombea mwenzako ubaya na magonjwa hata kifo pasipo sababu zozote chuki za nini?

Namwombea sana Lowassa ashinde uraisi. Hizi chuki na fedhea alizopata na kuvumilia pasipo kurudisha maneno Mungu amponye. Kisasi ni hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom