Kuoga huwa ni jioni umeshinda kazini au kwenye mizunguko ya kila siku, vumbi mambo na takataka nyingine zote zimegandamana mwilini mwako
Jioni ndio huwa Wakati muafaka wa kupata muda wa kutosha kuuswafi mwili ili uondoe jasho vumbi na uchafu wowote wa mchana kutwa ili ulale njema
Asubuhi ni kujimwagia tu maji kutoa uchovu na mavune ya usiku lakini si kutoa uchafu, unaoga nususaa nzima asubuhi kwani usiku ulikuwa unafanya nini???
Shughuli za usiku shansarie sio para tu , kama udhaniavyo wewe!
Mayero (Masai) almost shughuli hufanya usiku , Mapongo usiku , Viwandani etcetera !
Au kiwewewewe neno "Shughuli" lina maana ipi ?
Shughuli za usiku shansarie sio para tu , kama udhaniavyo wewe!
Mayero (Masai) almost shughuli hufanya usiku , Mapongo usiku , Viwandani etcetera !
Au kiwewewewe neno "Shughuli" lina maana ipi ?
kama uwazavyo wewe ulinzi unesu udaktari viwandani hata wauza chipsi wengine usiku kucha wapo kazini kama pale k'ndoni american chips usiku kucha wapo macho sasa asubui utawauliza kwann wanaoga