Assume tunawaza kwa sauti

Hi hi hi! Ingekuwa kama anakata mbao ule mlio wa ungedumu muda mrefu ungekuwa burudai sana kwa wachuuzi wa samaki!
 
Nisingekuwa na haja ya kutongoza cuz ningejua kabla kama chick ananitaka au hanitaki!!
 
mie nimepanga na hii nyumba naishi na karembo ka mwenye nyumba.. hi sasa nawaza hivi ngoja niandikeeee

.." nikija mpata huyu mtoto namuinamisha chuma mboga...afu nampiga mbuzi kagoma kwenda.... baada ya hapo nambanika kama kukiu.. aafuu nauacha mkono ufanye kazi ikulu,,, sugua kweli kweli ka nani hiii kale.... yaani hajinisahaauuu.. naingia mpaka chumviniiii... yaaaani nitamtiiiiiii..."

ndo nachowaza hicho..
Duuuh!!!!
unatisha:biggrin1:
 
Ningeshaacha na wife siku nyingi manake navyowaziaga kwenda kwa wale wa mabarabarani wife ananitibua sijui tu pasingetosha
 
Back
Top Bottom