Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 247
Mwisho hayo ndiyo ya KIkwete (Dhaifu); kwa nini asababishe tafsiri tofauti ya maneno yake kati yako na mimi labda na wengine?
Sina sababu kutaka kujua kwa nini umeelewa hivyo, na ingekuwa vizuri kama ungeniuliza nikupe kina cha uelewa wangu huo.
Walinipiga mateke ya mbavuni, wakati mwingine walitumia vitako vya bunduki, kila nilipokuwa najaribu kuangalia ninapokwenda nilishindwa, alisimulia Dk Ulimboka.
Alisema kuwa watu hao walimpeleka katika nyumba moja ambayo hakujua iko sehemu gani ambapo walimshusha na kuanza kumshambulia kwa mateke mfululizo kila sehemu ya mwili. Wakati huo, wote walimshinikiza awaambie nani yupo nyuma ya mgomo wa madaktari.
Tangu saa sita usiku mpaka saa 9:00 alfajiri walikuwa wananipiga tu, kuna wakati nilijaribu kukimbia wakapiga risasi juu nikasimama na sikuweza kukimbia tena, alisema Dk Ulimboka
Tatizo kuna watu wanajifanya wao ndio mahakimu, wao ndio wapelezi wameshafunga fikra zao kwenye muelekeo mmoja.
Fungua akili yako, kuwa open minded halafu liangalie hili swala kutoka kwenye angle zote na possibilities zote.
Kuna wale wenzangu na mie wanaopenda kulaumu serikali hata watoto wao wakitega kwenda shule, mwisho wa siku serikali inaweza isiwe na hatia lakini bado watasema uchunguzi umechakachuliwa, utafikiri wamerogwa.
Anaye chunguza naye anatakiwa kuchunguzwa.....raia hawana imani na tume iliyoundwa
Is there any way or under what circumstances he would have said otherwise?
Siku zote najua wewe ni DHAIFU ila sikujua kama ni DHAIFU SANA!
Ww ndio ufungue akili yako..system ya TZ inavofanya kazi tunaijua, mazingira ya matukio ya kihalifu ya TZ tunayajua (kama alivoelezea MM). To hell with your pathetic fallacy.Tatizo kuna watu wanajifanya wao ndio mahakimu, wao ndio wapelezi wameshafunga fikra zao kwenye muelekeo mmoja.
Fungua akili yako, kuwa open minded halafu liangalie hili swala kutoka kwenye angle zote na possibilities zote.
Kuna wale wenzangu na mie wanaopenda kulaumu serikali hata watoto wao wakitega kwenda shule, mwisho wa siku serikali inaweza isiwe na hatia lakini bado watasema uchunguzi umechakachuliwa, utafikiri wamerogwa.
Ww ndio ufungue akili yako..system ya TZ inavofanya kazi tunaijua, mazingira ya matukio ya kihalifu ya TZ tunayajua (kama alivoelezea MM). To hell with your pathetic fallacy.
The prime suspect in this incidence is the government..period!
They were pro! look at the torturing! It's the government. Doctors' choice of a third party, Dr. Ulimboka, made the govern resort to such a plan. Dr.Ulimboka is not a civil servant, disciplinary measures would probably not apply. In other words now that Dr. Ulimboka is no longer standing in their way it's easier for the government to deal with its employs. It's only a matter of time before we see doctors ending the strike, they've got mouths to feed, remember?b. [FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]Where is the car that came to the rescue? (in the middle of the night...)? was one of the agents had a changed heart and decided to spare Ulimboka's life (very probable); did he rush the others to give Ulimboka a chance to survive!.[/FONT]
[FONT=Verdana, Geneva, sans-serif]Really now, that's new information to me but either way Mr President already asserted that the Government is not involved[/FONT]
You just wait and seeThen what is your move sir?
Songambele nimekuwa nikifuatilia sana na kwa undani sana about CI za wenzetu katika nchi zilizoendelea, Songambele hata Tanzania hakuna crime investigation kabisa wao kazi nikuunda jopo tu ambalo je utakubaliana na mimi hata madactari wameshindwa kutoa sababu ya kifo cha kanumba ambapo under CI bases haitakiwa yule mdogo wake kanumba kupeta mtaani nakuwahi kumiliki kampuni ya kanumba unajua under CI Hata watu kama Ray hatakiwa kuwa mtaani,Suspect bado Mzee Mwanakijiji, wanasiasa waliahidi nchi isitawalike they will do as much as they can do as well. Very unfortunately, watu wengi wamedhurika na washukiwa hawakamatwi sema tu bongo watu wana matabaka sana lakini sio rasmi kuna touchable na untouchable, this time imemkuta kiongozi mbona na makala zitaandikwa kila kukicha, kwa mfano kuna dada alichinjwa na mumewe Tegeta na habari kutoka katika vyombo vya habari lakini Muuaji amefahamika na mpaka leo hajakamatwa wananchi wananung'unika chinichini. Hakuna cha haki za binadamu wala Tamwa walioenda hata kuuliza whats happened, wao wanataka media coverage tu waonekane katika luninga na kuvuta mkwanjwa wa wafadhili.
Jambo likigusa media au public interest ndio linaonekana muhimu, utakubaliana na mimi utendaji wa jeshi la polisi hauko makini kihivyo. Watu wanatekwa na kuumizwa yapo makundi ya watekaji yanafahamika kwa mfano manzese ni maarufu kwa kazi hiyo. Wahuni wakidhulumiana wanajua waende wapi kuchukua masela na wanakuchukua mbele ya public, kuchukuliwa mbele ya public pia sio hoja.
Kuna story ya magomeni jamaa alipigwa bastola katika traffic lights na taarifa za kijiweni mchizi alikuwa anauza madawa na wapakistan akawazingua wakamtema, jamaa akawachongea wakakamatwa mbezi beach. Kilichotokea jamaa akapigwa bastola ya mdomo katika mataa na jamaa waliokuwa katika pikipiki na wamesepa hadi leo hakuna lolote. Inasemekana jamaa wamekodiwa kutoka nje kwa kazi hiyo tu. My point jamaa wanaweza kodisha hata majangili kutoka nje watengeneza collable.
Kwa kuwa kuna wataalam wanachunguza bora tukawapa muda kuliko kuanza kucheza probability, manake hata JF siku hizo ingeweza kupata cruel kabla ya matukio ya namna hii sasa thinkers siku hizi wanachukua upande kabla ya kupata details na fact. Criminial Investigation (CI) wanasema each crime scene has its own evidence wataalam wageuze mawe yote majibu watapata.
Mbona hujamaliza possibilities zote?
1. Vyama vya upinzani
Motive: Kuchonganisha serikali na raia. Ni dhahiri kuwa lawama zitavurumishwa kwa serikali
*Vyama vya upinzania viliwahi kutangaza kuwa nusu ya watu wa usalama wa taifa wanaripoti kwao [That was in 2010, by now 60%?!].
2. Kambi zenye mvutano ndani ya serikali [Mbio za kuwania uraisi?]
Kambi inayojua kuwa Kikwete na watu wake "wanawabania" wanaamua "liwalo na liwe," ili na wakose wote.
Motive: Kama ubaya, ubaya tu
* Kama hutaki Unaacha alitueleza hapa kuwa TISS inaendeshwa na kambi mbili hivi sasa [Aliziita za Lowasa na 'nduguze' na ya Kikwete na watuwe]
Mkuu Mwanakijiji kama umesikiliza vizuri hotuba ya Mkulu wa Kaya, inaonekana Mkulu kachoka mbaya!!! Hii kazi ya Uraisi sio lelemama, mambo yamekuwa mengi huu ngomo wa madaktari umeongezea uzito wa mzigo wa kutawala!!!Five days later no one has been arrested for criminal assault and attempted murder of Dr. Ulimboka Stephen. That for five days the Tanzania security and intelligence services have failed to arrest anyone involved in the bloody attack on Ulimboka baffles my mind. At the same time however, it tells more and in fact it validates the suspicion that whoever was involved must have been a professional killer! But who really did it and why? Well.. let take some possible suspects and their motives and see if they could have done it...MMM
sio sana haitosh dhaifu mentallyNi vizuri kufahamu kwamba umekuwa ukinifuatilia kwa karibu pamoja na madhaifu yangu, inaonesha unajali.:happy:
In swahili
Baada ya siku tano hakuna mtu amekamatwa kwa shambulio la jinai na kujaribu mauaji ya Dk Stephen Ulimboka. Kwamba kwa siku tano usalama wa Tanzania na huduma za akili wameshindwa kumkamata mtu yeyote kushiriki katika mashambulizi ya umwagaji damu juu ya Ulimboka kishinda mawazo yangu. Wakati huo huo, hata hivyo, anasema zaidi na kwa kweli ni validates tuhuma ili kila mtu alikuwa wanaohusika lazima kuwa na muuaji mtaalamu! Lakini ambao kwa kweli alifanya hivyo na kwa nini? Vizuri .. basi kuchukua baadhi ya watuhumiwa iwezekanavyo na nia zao na kuona kama wanaweza kuwa na jambo hilo...MMM
I think you know more than this MM why not put it here so as we all can be illuminated?
Mkulu anatakiwa kuacha usanii Si amkamate huyo mtuu na amchukulie hatua????Kikwete kasema kam ni Serikali inahusika yeye personaly hajamtuma mtu kufanya hivyo kwa hiyo inaonesha kuna mtu mwingine ndani ya serikali ila sio yeye Mwisho watataja majina kabisa