Jamani jamani jamani.... ni clients gani uko nao hapo? Mi wivu wako hadi kwa kaka zako. Sijawahi kuwa commedian, mi ni paroko mstaafu. Mpole na nayejali........hebu tuwe serious kidogo, umewahi kuwa comedian?? umenichekesha mwenzio kila mtu ananishangaa mpaka clients! sasa huyo kufunikwa na matofali hivyo ndio nini jamani?? darling we waeza nichekesha hata kwenye ukaguzi, nimeshashtuka u cant b serious kha!
mi wa afya njema kabisa,nimefurahi kusikia uko poa my dadaangalia vizuri kwa jicho la pili, utagundua am not far hata kidogo....... but u knw what my kaka, am kujua upo pouwa!
- Usijali niko kwa ajili yako. Mapozi yako yananipagawisha jamani. Nikupitie jioni au nije sasa hivi? Uvumilivu ushanishinda.
Ile ni picha yako wewe na si babu
Hahahahaa umependeza sana aisee lol
Hivi ulipiga wapi vile?
Ni gelofrendi wangu lakini hana hiyana. Kama una kasura kamvuto anakubaligi threesome.