Dah mi ntakuja nae ingawa bado yuko tight na mambo fulani ila ntajitahidi kuja naeShemeji cacico ombi langu umelipokea lakini? Asprin nadhani tupunguze haya makitu tusijeshindwa kujitambulisha kwa gfsonwin na cacico sembuse kula mdudu
Nitakuja na Catherine ili naye akaguliwe apende asipende, ni kama kutahiriwa kwa wayahudi. Bishanga mtafute CUTE uje naye....dogo Erickb52 usipokuja na Amyner, baas tutajua imekula kwako.
BADILI TABIA na Mamndenyi, mujepo na Kongosho, mtakuwa na meza yenu maalum.,
ombi lako limekubaliwa bila upingamizi, ila tu mwambie hommie wako vigezo na masharti kuzingatiwa!Shemeji cacico ombi langu umelipokea lakini? Asprin nadhani tupunguze haya makitu tusijeshindwa kujitambulisha kwa gfsonwin na cacico sembuse kula mdudu
Nitakuja na Catherine ili naye akaguliwe apende asipende, ni kama kutahiriwa kwa wayahudi. Bishanga mtafute CUTE uje naye....dogo Erickb52 usipokuja na Amyner, baas tutajua imekula kwako.
BADILI TABIA na Mamndenyi, mujepo na Kongosho, mtakuwa na meza yenu maalum.,
gfsonwin tangu nimalize kumkagua yuko hoi kalala tu home ila atakuja baadae kidogo
Umeona eeeh!Mkuu wangu kule ni shurba tu!! Usipime.
hebu tuwe serious kidogo, umewahi kuwa comedian?? umenichekesha mwenzio kila mtu ananishangaa mpaka clients! sasa huyo kufunikwa na matofali hivyo ndio nini jamani?? darling we waeza nichekesha hata kwenye ukaguzi, nimeshashtuka u cant b serious kha!