Asprin, Krolokwin, Fellow Tablet, Quinine.....

Asprin, Krolokwin, Fellow Tablet, Quinine.....

wewe huna neno, wenye utata ni hao dawa wengine, halafu nadhani ni wakina dawa za magonjwa ya milipuko hao
halaf mwambie WiseLady tumemnyang'anya rasmi u lawyer wa JF. Tangia amechumbiwa na yule fundi baskeli amekuwa hahuzurii vikao kikamilifu.
 
Klorokwin u have made my day yaani nimecheka mpaka dah hicho kijiji nitakitembelea siku moja nichukue sensa ya maandiko makaburi.
hehehe unakaribishwa sana , usisahau kalkuleta, huku kwa wiki tunakufa 20, kijiji chetu ni usibitisho tosha kwamba Mungu yupo.
 
halaf mwambie WiseLady tumemnyang'anya rasmi u lawyer wa JF. Tangia amechumbiwa na yule fundi baskeli amekuwa hahuzurii vikao kikamilifu.

Umeonaa eeh, maana mie jana nilipita kwenye kijiwe cha huyo fundi kumefungwa sasa hawa watu are not serious.
 
utabiri wangu unaniambia jamaa atakuwa hana kibarua, anakimbia majukumu.

yanini malumbano Fellow tablet anakamua halafu ukizangatia mimi ni dogo wake itakuwaje tuchangie acha aendelee, lakini kibarua ninacho ninaingiza dola 20 kwa saa google wananilipa nafanya kazi nikiwa home tu...
 
Umeonaa eeh, maana mie jana nilipita kwenye kijiwe cha huyo fundi kumefungwa sasa hawa watu are not serious.
Lakini yule fundi baskeli ana true love bana kwa Wiselady, unajua ameuza baadhi ya spana zake ili Wiselady apate nokia tochi. dah!
 
yanini malumbano Fellow tablet anakamua halafu ukizangatia mimi ni dogo wake itakuwaje tuchangie acha aendelee, lakini kibarua ninacho ninaingiza dola 20 kwa saa google wananilipa nafanya kazi nikiwa home tu...

dah! kumbe kamanda una mshahara kuliko lyatonga mrema?
 
Back
Top Bottom