Asprin, Krolokwin, Fellow Tablet, Quinine.....

wewe huna neno, wenye utata ni hao dawa wengine, halafu nadhani ni wakina dawa za magonjwa ya milipuko hao
halaf mwambie WiseLady tumemnyang'anya rasmi u lawyer wa JF. Tangia amechumbiwa na yule fundi baskeli amekuwa hahuzurii vikao kikamilifu.
 
Klorokwin u have made my day yaani nimecheka mpaka dah hicho kijiji nitakitembelea siku moja nichukue sensa ya maandiko makaburi.
hehehe unakaribishwa sana , usisahau kalkuleta, huku kwa wiki tunakufa 20, kijiji chetu ni usibitisho tosha kwamba Mungu yupo.
 
yanini malumbano Fellow tablet anakamua halafu ukizangatia mimi ni dogo wake itakuwaje tuchangie acha aendelee, lakini kibarua ninacho ninaingiza dola 20 kwa saa google wananilipa nafanya kazi nikiwa home tu...

dah! kumbe kamanda una mshahara kuliko lyatonga mrema?
 
Back
Top Bottom